thbub

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    GE2025 THBUB: Wanahabari tumieni kalamu zenu kudumisha amani

    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imewataka waandishi wa habari mkoani Tabora kufuata miiko na kanuni za uandishi wa habari kwa kuzingatia usawa, kuepuka matumizi mabaya ya lugha ili kudumisha mshikamano na amani hususani kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba...
  2. R

    GE2025 THBUB yatoa Mafunzo kwa Polisi Arusha Kuhusu Haki za Binadamu na Utawala Bora kuelekea Uchaguzi 2025

    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeendesha mafunzo kwa Askari wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha kuhusiana na uzingatiwaji wa haki za binadamu na misingi ya Utawala Bora katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025 Akizungumza na Askari hao leo Septemba 17, 2025, Makamu Mwenyekiti wa...
  3. DuaZaMama

    GE2025 THBUB Yatoa Wito kwa Viongozi wa Dini na vyama vya Siasa Kuepuka Lugha za Uchochezi uchaguzi mkuu 2025

    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imewataka wadau wa uchaguzi wakiwemo viongozi wa dini na vyama vya siasa kujiepusha na lugha za matusi, kejeli, ubaguzi na uchochezi, hasa wakati wa kampeni huku akiwasisitiza kutanguliza mbele masilahi ya taifa. Wito huo umetolewa na Makamu...
  4. Tume Haki Binadamu(THBUB)

    Tamko la tume ya haki za binadamu na utawala bora maadhimisho ya siku ya wafanyakazi

    Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani,THBUB yatoa tamko Tamko la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei 1, 2025 Tarehe 1 Mei kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani. Maadhimisho...
  5. Tume Haki Binadamu(THBUB)

    THBUB yafanya ukaguzi kiwanda cha KEDS Tanzania Company LTD kujiridhisha na uzingatiwaji wa Haki za Binadamu

    Katika utekelezaji wa majukumu yake ya Kikatiba na Sheria, Ujumbe wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) ukiongozwa na Kamishna Mhe. Nyanda Shuli umetembelea kiwanda cha KEDS TANZANIA COMPANY LYD na kufanya mazungumzo na baadhi ya Wafanyakazi wa kiwanda hicho kilichopo Wilaya ya...
  6. Tume Haki Binadamu(THBUB)

    THBUB yapokea Malalamiko ya uvunjwaji wa haki na ukiukwaji ya misingi ya utawala bora Kigoma

    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imepokea malalamiko ya uvunjwaji wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya utawala bora kwa mkoa wa Kigoma. Malalamiko hayo yamewasilishwa na wananchi wakati wa Mkutano wa hadhara wenye lengo la kutoa elimu ya haki za binadamu na misingi ya...
  7. Tume Haki Binadamu(THBUB)

    Tume ya haki za binadamu na utawala bora (THBUB) yalaani vikali mauaji ya Jumanne Juma aliyechomwa kwa mafuta Kimara

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Tamko la THBUB kulaani mauaji ya Bw. Jumanne Juma Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Bw. Jumanne Juma (28), aliyekuwa mkazi wa Mtaa wa Kimara B, Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam aliyeuawa kwa...
  8. Tume Haki Binadamu(THBUB)

    THBUB kuendelea kutumia njia mbalimbalimkuifikia Jamiii

    Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Khamis amesema Tume inaendelea kutuma njia mbalimbali za kutoa elimu ya haki za binadamu na misingi ya utawala bora ili wananchi waweze kutambua haki na wajibu wao. Hayo alisema Januari 23, 2025 wakati akitoa elimu...
  9. Tume Haki Binadamu(THBUB)

    Makamu Mwenyekiti THBUB: Hali ya haki za binadamu nchini inaendelea kuimarika kutokana na uelewa wa watu kuongezeka

    Akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Salmin Amour iliyopo katika Manispaa ya Singida hivi karibuni Makamu Mwenyekiti Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Mhe. Mohamed Khamis Hamad, alisema, hii ni kutokana na watu kuwa na uelewa wa kuibua masuala ya uvunjifu wa haki za...
  10. Tume Haki Binadamu(THBUB)

    Tume ya Haki za Binadamu (THBUB) yachunguza mauaji ya vifo vya Watu wawili vilivyotokea Pemba

    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imesema inachunguza vifo vya watu wawili vilivyotokea hivi karibuni, Mkoa wa Kaskazini Pemba. THBUB imeeleza imepokea kwa masikitiko makubwa vifo vya Nd. Athuman Hamad Athuman na Amour Khamis Salim, waliokuwa wakaazi wa kijiji cha Kiungoni, Wete...
  11. Tume Haki Binadamu(THBUB)

    Special Thread: Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB). Karibu tukusikilize

    Habari wana JamiiForums, Hii ni Akaunti rasmi ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), kupitia thread hii, tunakukaribisha tuzungumze na tutambue haki zetu sote Utangulizi Ni Idara huru ya Serikali ambayo inashughulikia masuala ya haki za binadamu na utawala bora na ni chombo cha...
Back
Top Bottom