Bila upevu wa fikra kung’amua hii homa ni ndoto
Madaktari, waganga wote chamtoto
Bado wanaitafuta pimajoto, kwani dunia ina homa kali mithili ya moto
Wanasayansi wamelala maabara, Wanaitafuta tiba
Kwani homa ya dunia ishaleta madhara,
Hakuna masihara, vipofu wamesikia, homa ya dunia, viziwi bado...
"Bila Upevu wa Fikra kung'amua Hii Homa ni Ndoto/ Madaktari , Waganga Wote Cha Mtoto/
Bado Wanaitafuta Pimajoto/
Kwani Dunia Ina Homa Kali Mithili ya Moto/
Wanasayansi Tumelala Maabara/ Tunaitafuta Tiba Kwani Homa ya Dunia Ishaleta Madhara
Hakuna Masihara/
Vipofu Wameisikia
Homa ya Dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.