Kama ulikua unapenda kufanya activation ya Windows Kwa njia ya Offline 🫵, sasa itakua haiwezekani tena.
Lazima kila mtu awe na akaunti ya Microsoft (Microsoft account now is mandatory),
Ambapo Kampuni ya Microsoft imeua mfumo wa watu kutumia njia ya local (bila kuwa na akaunti ya...
bongotech255
fahamu
fahamu zaidi
micro-finance
microsoft windows 11 activation
tanzania
teknolojiatehama
windows
windows activation
𝗞𝗮𝗱𝗶 𝗻𝘆𝗲𝘂𝘀𝗶
𝗧𝗲𝗵𝗮𝗺𝗮 𝗖𝗵𝗶𝗻𝗮
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha taarifa zinazosambaa mtandaoni zinazoeleza kuwa benki za biashara nchini zimepata au zinatarajiwa kupata shambulio la kimtandao litakalosababisha upotevu wa fedha za wateja na kusababisha hitilafu katika mifumo ya kibenki.
Katika taarifa yake kwa umma...
Utasikia wabongo vijiweni "Mzungu Mchawi sana", hii kauli sio kwamba limepatikana tunguli la Muingereza au Mjerumani la hasha bali vifaa vya kila siku vya kielektroniki; hivi.
Kuna anayetambua kuwa hizi simu tunazotumia kuingia JamiiForums zimetengenezwa kwa kutumia mchanga, yaani motherboard...
UTANGULIZI
Miaka ya karibuni kumekuwa na kampeni na kiu kubwa ya wananchi, Serikali na Sekta binafsi kutumia TEHAMA kama njia kuu ya kuwezesha huduma kirahisi na kwa haraka, ila changamoto kubwa ni kwamba bado miundombinu wezeshi ya TEHAMA nchini Tanzania hususan maeneo mengi ya vijijini sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.