tehran

Tehran (; Persian: تهران‎ Ťehrân [tehˈɾɒːn] (listen)) is the capital of Iran and Tehran Province. With a population of around 8.7 million in the city and 15 million in the larger metropolitan area of Greater Tehran, Tehran is the most populous city in Iran and Western Asia, and has the second-largest metropolitan area in the Middle East (after Cairo). It is ranked 24th in the world by the population of its metropolitan area.In the Classical era, part of the territory of present-day Tehran was occupied by Rhages, a prominent Median city. It was subject to destruction through the medieval Arab, Turkic, and Mongol invasions. Its modern-day inheritor remains as an urban area absorbed into the metropolitan area of Greater Tehran.
Tehran was first chosen as the capital of Iran by Agha Mohammad Khan of the Qajar dynasty in 1786, in order to remain within close reach of Iran's territories in the Caucasus, before being separated from Iran as a result of the Russo-Iranian Wars, and to avoid the vying factions of the previously ruling Iranian dynasties. The capital has been moved several times throughout history, and Tehran is the 32nd national capital of Persia. Large-scale demolition and rebuilding began in the 1920s, and Tehran has been a destination for mass migrations from all over Iran since the 20th century.Tehran is home to many historical collections, including the royal complexes of Golestan, Sa'dabad, and Niavaran, where the two last dynasties of the former Imperial State of Iran were seated. Tehran's most famous landmarks include the Azadi Tower, a memorial built under the reign of Mohammad Reza Shah of the Pahlavi dynasty in 1971 to mark the 2,500th year of the foundation of the Imperial State of Iran, and the Milad Tower, the world's sixth-tallest self-supporting tower which was completed in 2007. The Tabiat Bridge, a newly built landmark, was completed in 2014.The majority of the population of Tehran are Persian-speaking people, and roughly 99% of the population understand and speak Persian, but there are large populations of other ethno-linguistic groups who live in Tehran and speak Persian as a second language.Tehran has an international airport (Imam Khomeini Airport), a domestic airport (Mehrabad Airport), a central railway station, the rapid transit system of Tehran Metro, a bus rapid transit system, trolleybuses, and a large network of highways.
There have been plans to relocate Iran's capital from Tehran to another area, due mainly to air pollution and the city's exposure to earthquakes. To date, no definitive plans have been approved. A 2016 survey of 230 cities by consultant Mercer ranked Tehran 203rd for quality of life. According to the Global Destinations Cities Index in 2016, Tehran is among the top ten fastest growing destinations.October 6 is marked as Tehran Day based on a 2016 decision by members of the City Council, celebrating the day when the city was officially chosen as the capital of Iran by the Qajar dynasty back in 1907.

View More On Wikipedia.org
  1. Echolima1

    Makao Makuu ya IRGC yaangamizwa huko Tehran

    Makao makuu ya IRGC huko Tehran yameangamizwa na ndege-vita za Usrael huko Tehran Iran. Hata vita hii ikiisha leo hii Iran itakuwa imepara kilema cha maisha: 1. Imepoteza Airforce. 2. Imepoteza Navy 3. Imepoteza Air-defence. 4. Imepoteza viongozi wake
  2. Echolima1

    Daraja linalounganisha Tehran na Karaj, Iran laangamizwa iran walalama!!

    Baada ya shambulio kwenye daraja linalounganisha Tehran na Karaj, Iran inatishia kushambulia madaraja nchini Israeli, Kuwait, Abu Dhabi, Jordan, na Iraq. Nyoka kichwa kimebondwa anaanza kuwaya-waya ili akate roho!! ============== Airstrike detroys bridge linking Tehran and Karaj Meanwhile...
  3. Echolima1

    Mazishi ya Gaidi Ali larijan na mwenzake yamefanyika huko Tehran Iran

    Uwanja wa Mapinduzi mjini Tehran: Mazishi ya Ali Larijani, mwanawe, washirika wake, na kamanda wa Basij waliouawa na Israeli. Adiosamigo gallow bird 100 others gTurn mdogoee lini mnaanua Matanga?
  4. hamis77

    Israel yasema imemuua Waziri wa ujasusi wa Iran, Esmail Khatib

    Iran’s intelligence minister Esmail Khatib Israeli Defense Minister Israel Katz says Iran’s intelligence minister Esmaeil Khatib was eliminated in an overnight strike in Tehran. Katz warns of “significant surprises” expected today across multiple arenas, signaling further escalation against...
  5. zitto junior

    Rais wa Iran akitembea huru na kuhudhuria maandamano makubwa huko Tehran leo 13/03/2026

    Kumekuwepo na propaganda nyingi sana Jamii forums 1. Serikali ya Iran haipendwi 2. Viongozi wamejificha kwa kuogopa USA. 3. Hakuna air defense wala chochote cha kulinda nchi dhidi ya mashambulizi. 4. Uongozi sio tu umeparaganyika bali haupo kabisa na wachache waliobaki wamekimbia nchi au...
  6. Dalton elijah

    Imefichuka kuwa Wafanyakazi wa Mossad walivamia mtandao wa kamera za trafiki za Tehran kwa miaka kadhaa

    Imefichuka kuwa Wafanyakazi wa Mossad walivamia mtandao wa kamera za trafiki za Tehran kwa miaka, wakifuatilia harakati za Ayatollah Ali Khamenei,walinzi wake, na maafisa wengine wakuu wa Iran kabla ya mauaji yake, kulingana na ripoti. Israel ilipata ufikiaji wa karibu kamera zote za jiji...
  7. Echolima1

    Sasa rasmi Mvua za Masika imeanza kunyesha huko Tehran Iran

    Baada ya ya Mvua za rasharasha kunyesha huko Iran sasa hivi rasmi kabisa Mvua za Masika zimeanza kumnyeshea Ayatollah huko Tehran Iran. Kufikia asubuhi hii ameangamizwa Amir Hatami, Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri za Kiislamu, aliyekuwa anatishia kuangamiza Tel Aviv na Haifa. Na yeye Kaangamizwa...
  8. Ritz

    Tehran, Wairani milioni 1.2 waliandamana kuiunga mkono serikali yao

    Wanaukumbi. ⭕️Huko Tehran, Wairani milioni 1.2 waliandamana kuiunga mkono serikali yao Kwa upande mwingine, maandamano makubwa zaidi ya kupinga serikali hayakuwahi kukua hadi zaidi ya makumi ya maelfu. Kama kawaida, vyombo vya habari vya Magharibi havitakuonyesha hizi video kwa sababu...
  9. mcTobby

    Misiba ndani ya jiji La Tehran

    siku moja majira ya jioni ya saa kumi na nusu hivi kwenye mtaa wa Bani hashem katikati ya jiji la Tehran, walionekana watu wawili wakiwa wamebebana kwenye pikipiki. Baada ya kumkaribia mtu fulani aliyekuwa akijiandaa kuingia kwake baada ya kutoka kazini, walichomoa bastola zilizofungwa silencer...
  10. Echolima1

    Huko Tehran jioni hii wamepigwa na kitu kizito kituo cha mafuta chateketea!!

    Kituo cha mafuta huko Tehran Iran jioni hii kimepigwa na kitu kiito kisichojulikana na sasa hivi kinateketea kwa moto!!! Baada ya kipigo cha siku 12 kutoka majeshi ya Israel Iran sasa inasumbuliw na milipuko ya mabomu karibu kila siku nchi humo!!!
  11. Mlaleo

    Ambao hawakuona Tehran ikichakazwa na Israel Video hii hapa, kumbe magari ni Kama Makaratasi yanapepea hewani ''Kaboom''

    https://video.a7.org/media/a7radio/misc/video/25/jul/video5996852085654558388.mp4 Am sure Iran kipigwa sana hadi kulia lia eti walipwe fidia. Ndio Maana Israel walikuwa wanatoa kabisa kwa Raia wasikae karibu na maeneo ya Utawala wa Ayatollah
  12. A

    Kuna mlipuko huko Tehran

    Inaripotiwa mlipuko katika nyumba moja huko Tehran inayokaliwa na maafisa wa Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Iran (IRGC).
  13. B

    June 23 TEHRAN kupigwa pigo takatifu, Kitabu cha Esther tarehe 23 kwa kalenda ya Kiyahudi

    23 June 2025 historia kwenda kujirudia . Mwanazuoni rabbi afafanua https://m.youtube.com/watch?v=tCx0oNy1DnI Rabbi anaingia kwa kina kuangalia historia hii katika kitabu kitakatifu : Katika Kitabu cha Esta, siku ya 23 ya mwezi wa Kiebrania wa Sivan iliashiria kipindi cha badiliko kutoka...
  14. U

    Trump akataa kusema kama anapanga kuivamia Iran, asema Tehran inataka kujadiliana

    Rais wa Marekani Donald Trump amekataa kusema iwapo atauamuru mashambulizi dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran, licha ya kutoa kauli hapo jana zilizoashiria kuwa anaelekea kufanya hivyo. “Naweza kufanya hivyo. Naweza pia nisifanye. Hakuna anayejua nitakachofanya,” Trump aliwaambia waandishi wa...
  15. Watery

    Israel -Iran war: Watu 585 wafa, 1326 wajeruhiwa kwenye shambulio la Israel Tehran leo

    https://youtu.be/gN12y0uq2Ds?si=RrGmQarChpzzlfmu
  16. MK254

    Raia walionywa waondoke Tehran, sasa Israel imeanza mapigo rasmi, msije kulaumu, mlipewa muda wa kuondoka

    Kuna maeneo maalum ambapo raia waliagizwa waondoke, hivyo yeyote aliyebaki hapo anachukuliwa kama mwanajeshi, Israel imeanza kupiga.... Israeli Air Force fighter jets seen attacking Iranian nuclear targets, June 15, 2025(photo credit: IDF SPOKESPERSON'S UNIT) An evacuation has been issued to...
  17. Nehemia Kilave

    'Don't let beautiful Tehran become Gaza': Iranians tell of shock and confusion .Vita sio vya kushabikia na kufurahia

    Residents of Tehran - still shocked by Israel's sudden attack on Iran in the early hours of Friday morning - speak of fear and confusion, a feeling of helplessness and conflicting emotions. "We haven't slept for nights," a 21-year-old music student told me over an encrypted social media app...
  18. MK254

    Trump awaagiza watu waihame Tehran, huku hiyo Tehran ikiwaka moto

    Hamna namna hadi Ayatollah atie saini kuacha mawazo ya nyuklia, kwa sasa amesazwa na lile gauni lake ila wengine wote wanafagiwa.... Israel imefanya maangamizi makubwa sana mpaka hapo, Marekani ingeacha kwanza kama mzee na lile gauni lake atatia saini mkataba wa kuacha manyuklia, kwa kweli...
  19. W

    Msafara wa ndege za kivita za Marekani waelekea Mashariki ya kati baada ya Trump kutoa agizo la dharura raia wa Iran kuondoka Tehran, foleni imeshona

    Baada ya agizo la Dharura, Foleni ya kuondoka Tehran imekuwa ni kubwa sana, Trump kalazimika kukatisha mkutano unaoendelea nchini Canada wa G7 na kurudi haraka Marekani, Amewaagiza wajumbe wa Baraza la Usalama wa Taifa (NSC) wawe tayari kwenye chumba cha dharura (Situation Room)...
Back
Top Bottom