Jamani mpaka inaboa, umeme wanakata masaa 20 ukipiga nguzo imeanguka, haya mara kuna tatizo linashughulikiwa . Haiwezekani maeneo hayohayo yakapata matatizo ndani ya wiki moja. Vitu vyetu vinaharibika.
Lazma kuna uzembe. Tunaomba meneja wa kituo cha TANESCO Tegeta ajitafakari.
Miundombinu ya...