Katika harakati zangu leo nilifika hadi stendi ya Tegeta Nyuki ni moja ya stendi kubwa sana lakini ni stendi ambayo imetelekezwa kwa muda sana bila kufanyiwa ujenzi hata kidogo.
Lakini leo nimekutana na ukarabati unaendelea pale. Sasa nikajiuliza mbona sasa hivi siku zote walikuwa wapi? au hizo...
A Level na O Level, masomo yote.
Kutana na walimu wabobevu kwa kila somo.
Pia tunafundisha mbinu za kufanya solving ya maswali kwa kila topic,, pamoja solving ya past papers...
Hostel pia zipo.
Tupo Tegeta- Nyuki
KARIBU.
Likizo time tution.
Mapambanio centre- tegeta nyuki.
A level na o level masomo yote..
Walimu wabobevu kwenye kila somo.
Solving ya maswali kwa kila topic na maswali ya necta inafanyika kwa kina.
Karibu (0625012562)
Whatsap; 0782044028
A LEVEL NA O LEVEL MASOMO YOTE. WALIMU WALIOBOBEA KWENYE UFUNDISHAJI. SOLVING YA MASWALI MBALIMBALI NA MASWALI YA NECTA INAFANYIKA KWA KINA KABISA..
MWANAFUNZI AKITOKA HAPA ANAKUA TAYARI KUFANYA VIZURI KWENYE MTIHANI WA MWISHO.
KARIBU (0625012562)
Nimeona miaka ikienda lakini stendi ya Tegeta Nyuki ambayo ni moja ya stendi kubwa tu inayobeba magari mengi yanayofanya safari zake maeneo mengi katika Jiji hili la Dar es Salaam.
Kwa mfano kuna magari ya Tegeta Nyuki Makumbusho, Tegeta Nyuki - Simu 2000, Tegeta Nyuki - Bunju Sokoni, Tegeta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.