Wakuu, kuna kitu kinaitwa "divide and conquer", yaani "tawanya utawale".
Kuna mifano mingi sana, wadau wa historia mna ushahidi.
Ukweli ni kwamba, wapo watu wa bara wengi wenye mali na familia Zanzibari, vile vile wapo watu wa Zanzibari wengi wenye mali na familia bara. Infact wapo watu wengi...