Asalam Alyekum..
Naona wameibuka mashehe ubwabwa wanaotumiwa ili kujaribu kupinga dhuruma na mauaji ya Raia
TEC walimtoa tamko la kisomi kabisa
Hawa mashehe badala wawajibu wao wanapandikiza chuki
Hivi hii Taasisi ya BAKWATA inayoshindwa kuweka mawakili kuwatetea mashehe wanaosota gerezani...
Kuna maoni nilisoma mtu akishauri kuwa, Hawa Masheikh na Wanazuoni wanaojitokeza kushambulia TEC wanazidi kuharibu kwani wanaongea hisia badala ya Logics. Nimemsikiliza huyu Sheikh anasema kuwa Lissu alishambuliwa Dodoma, lakini TEC hawakutoa tamko lolote sababu Rais alikuwa Mkatoliki. Katika...
Wakuu,
Mbona kama hili suala limechukuliwa serious sana na? Sasa TEC wanahusikaje na hoja za wanasiasa?
Kosa la TEC ni kukemea mauaji?
"Haya yametokea kwa sababu hatuna wanasiasa sasa hivi tuna mitusi tu.
Sasa hivi hatuna wanasiasa tuna watu wa kuwatia hasira wananchi badala ya kutoa sera...
Askofu Jude Thadeus Ruwa'ichi akizungumza leo Oktoba 14, 2025 katika Misa ya Takatifu ya Hija ya UWAKA kuwategemeza Masista wa Shirika la Dada Wadogo Visiga Pwani, jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam ametoa tamko la baraza la maaskofu kupitia kamati ya haki na amani kuhusu uchaguzi mkuu 2025 na...
Athari mbaya 5 za Tamko la TEC kuhusu Siasa Siku ya Pasaka
Kuchochea Migawanyiko ya Kijamii na Kisiasa
Tamko linaweza kuonekana kama kuchukua upande fulani wa kisiasa, hivyo kuibua hisia mseto miongoni mwa raia. Wapo wanaoweza kuona kanisa kama linaegemea upande wa wapinzani, na wengine kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.