Mgombea Ubunge Jimbo la Tabora mjini kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Hawa Mwaifunga leo Septemba 25,2025 ameendelea na mikutano ya Kampeni kuomba ridhaa ya Wananchi wa Jimbo la Tabora mjini kumchagua.
Akiwa katika kata ya Mwinyi Mgombea Ubunge huyo amewaahidi wananchi wa kata hiyo kutatua...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Tabora Mjini kupitia Chama cha Wakulima (AAFP), Habiba Bunduki, amezindua kampeni zake akiahidi kuboresha maisha ya wananchi kwa kujenga barabara za juu (flyover) katika barabara za Tabora Mjini pamoja na kubadilisha mazingira ya elimu ili kuhakikisha wanafunzi...
Katibu wa Siasa na uenezi Ccm mkoa wa Tabora Iddi Moshi Mambo ametaja orodha ya majina ya watia nia wa udiwani wilaya ya Tabora mjini.
Mambo, ameeleza kuwa majina hayo yamepitishwa na Chama cha mapinduzi CCM kwa ajili ya Wajumbe wa Chama hicho ngazi ya kata kuwapigia kura na kumchagua mmoja...
Mbunge wa Viti Maalum 2015 - 2025 kupitia CHADEMA Hawa Bananga , ambaye kwa sasa amejiunga na CCM na ni miongoni mwa wanachama waliojitosa katika mbio za ubunge Jimbo la Tabora Mjini.
Mbunge wa Jimbo la Tabora Mjini, Emmanuel Mwakasaka amejitokeza leo kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kuwania Ubunge wa jimbo hilo kwa mara nyingine tena.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Mwakasaka ni mbunge wa Jimbo la...
Duka la dawa Muhimu DLDM LINAUZWA mwenye nalo, anaondoka Tabora
bei ya kutupa million 3 tu pamoja na dawa
Bei haipungui
Duka
Lina kabati 2 nyuma
Kila moja futi 8 kimo 4 upana
Kabati 1 mbele futi 5 kimo 4 upana
Pembeni pia partition 3 vioo urefu wa 4×3
Duka Lina lesseni ya biashara ina expire...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.