steven mukwala

Steven Mukwala (born 15 July 1999) is a Ugandan professional footballer who plays as a striker for Asante Kotoko SC in Ghana. He played Vipers SC and loaned at Maroons FC of Uganda Premier League.

View More On Wikipedia.org
  1. Damaso

    Mukwala na Okello wagombania mpira wa penalti

    Uganda walipata penati kwenye mchezo wao dhidi ya Somalia, ikatokea Allan Okello na Steven Mukwala wote wakawa wanagombea kutaka nafasi ya kupiga penalti. Hivyo nahodha wao Khalid Aucho akaingilia kati na akachukua mpira kutoka kwa Mukwala na kumpatia Okello apige penati, Okello alifunga...
  2. GENTAMYCINE

    Simba SC hili la Mchezaji Jonathan Sowah kumpiga Ngumi ya Jicho Steven Mukwala huko Kambini Misri mliweke sawa na Sowah aonywe upesi sawa?

    Mkiambiwa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ni habari nyingine kwa Taarifa za Ndani na sina Mpinzani hapa JamiiForums muwe mnakubali tu na hata kunipigia Saluti Kudadadeki. Haya upesi sana huyu Mchezaji wetu mpya na Fundi wa Kufunga Magoli Jonathan Sowah aitwe na aonywe kuwa Simba SC hatutaki Ndodi za...
  3. M

    Mukwala Vs Ateba

    Kuna hawa strikers wa Simba , Simba Ina mastriker watatu ambao kwenye pecking order ateba ni namba moja , mukwala Namba mbili na mashaka namba tatu, kwa upande wangu sijawahi muelewa kabisa ateba , nafasi anazopata na kuzibadili kuwa magoli naona haviendani kabisa, pia uwezo wa kusimama kwenye...
  4. Waufukweni

    Huyu streka refu kuliko goli, Steven Mukwala ndio tuseme anaipenda sana Simba au ni Ubishoo tu?

    Begi la Ubaya Ubwela kutoka kwa Star Boy, Steven Mukwala Streka refu kuliko gali akiwa safarini kwenda kuwakabili CS Constantine Disemba 8 huko Algeria.
  5. GENTAMYCINE

    Baada ya Kumsajili Mchezaji niliyemtaka Steven Mukwala kutoka Uganda sasa naomba mnisajilie Kiungo Mchezeshaji kama Haruna Niyonzima Timu itishe zaidi

    Nimefurahi sana Uongozi wa Simba SC kwa Kufanikisha haraka sana Usajili wa huyu Mshambuliaji mahiri mno kabisa.
  6. GENTAMYCINE

    Huyu Mchezaji Steven Mukwala kutoka Uganda akisajiliwa na Simba SC nitajua sasa Simba SC wameamua kuwa Serious na Vikombe walivyovikosa

    Kwa Kipaji kikubwa alichonacho na kwa aina ya Vipaji vilivyopo hapa nchini Uganda Simba SC watafanikiwa nae mno. Steven Mukwala
Back
Top Bottom