stephen wasirra

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kavulata

    CCM heshimuni wazee, waacheni wapumzike

    Uzee ni muda wa kutubia, kuungama na kutumia kile ulichochuma wakati wa ujana wako. Sio muda wa kutafuta dhambi na maadui wapya bali kutafuta watu wengi zaidi wataokuzika siku ukifa. Kazi mliyompa Mzee Wasira ya uwenyekiti wa CCM bara ni kazi nzito sana kwa Mzee kama Wasira aliyelitumikia taifa...
  2. Waufukweni

    PreGE2025 Makalla (CCM): Mzee Wasira hajakata moto, hana jambo lolote ni ratiba tu ya mapumziko

    Katibu Mwenezi, itikadi na mafunzo wa Chama cha Mapinduzi CCM Amos Makalla akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam amejibu kuhusu ukimya wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Masato Wasira.
  3. ChoiceVariable

    PreGE2025 Mzee Wasira: Jeshi Lazima Lielewe Aina ya Itikadi ya Siasa za Nchi Wanayoilinda

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Steven Wasira, amesema si jambo la ajabu kwa majeshi kufahamu siasa za nchi wanazozilinda. Akizungumza na wananchi na wanachama wa CCM wa Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma, Aprili 23, 2025, Wasira alisema kuwa taasisi yoyote ya ulinzi inapaswa kuelewa...
  4. Mindyou

    PreGE2025 Viongozi wa ACT Wazalendo waitaka serikali kuwachukulia hatua Stephen Wassira na Hamis Mbeto

    Sema kuna muda hawa ACT wanapenda sana drama. Hivi kweli unaaanda press then unaanza kuwaambia waandishi kwamba CCM ianze kujishughulikia wenyewe? Hawa wataweza kweli zile "siasa za mapambano" ambazo huyo Othman alikuwa anazizungumzia? ============================================= Chama cha...
  5. Ojuolegbha

    PreGE2025 Wassira aihakikishia Marekani uchaguzi kuwa huru na haki

    WASIRA AIHAKIKISHIA MAREKANI UCHAGUZI KUWA HURU NA HAKI Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Stephen Wasira amesema kipaumbele cha Chama wakati wote ni kuhakikisha nchi inakuwa na amani. Pia, ameihakikishia kuwa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadae...
  6. Ojuolegbha

    PreGE2025 Wassira: CHADEMA msije na azimio linalokiuka sheria za nchi yetu

    MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema Chama na serikali yake haitakubaliana na azimio lolote litakalotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya kukutana kwa faragha kama walivyotangaza viongozi wa chama hicho, juzi. Amesema...
  7. M

    PreGE2025 Wassira atawasumbua sana Lissu na watu wake

    Kama CCM imejua kuchagua basi imeteua mtu ambae mtu sahihi hivi sasa. Wasira wanawajua zaidi chadema. Wasira akiongea neno moja CHADEMA 100 mjadala wanauhamishia huko. Pia Wasira hamungunyi maneno kwa CHADEMA kitu ambacho zinatumika nguvu nyingi kumjibu. Wasira akibonyeza kitufe CHADEMA yote...
  8. Akilindogosana

    Andaeni mdahalo kati za Mzee Wassira na Heche. Uwe live kwenye tv, radio na mitandaoni

    Wahusika andaeni mdahalo kati ya Heche na Mzee Wassira. Uwe live kwenye tv, radio na mitandaoni. Chief odemba uwepo. Watiane spana vizuri Mdahalo uzungumzie 1. Masuala ya vijana 2. Hali ya kiuchumi 3. Ukosefu wa ajira 4. Nyingine muongezee
Back
Top Bottom