Habarini waungwana,
Ni matumaini kwamba watu watakua kwenye maandalizi ya sikukuu ya Pasaka.
Tafadhali napenda kuwajulisha kwamba kampuni niliyoitaja hapo juu inajihusisha na upokeaji na usambazaji wa mizigo inayotoka nje na hasa bidhaa zinazo nunuliwa kwa njia ya mitandaoni.
Ni kwamba...
Wakuu habari zenu,
Naomba mwenye namba ya Speedaf express ya Tanzania anisaidie maana kuna mzigo wangu sijaupata nataka kuwauliza kama uko ofisini kwao.
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.