sony

Sony Corporation (ソニー株式会社, Sonī kabushiki gaisha, SOH-nee, commonly known as Sony and stylized as SONY) is a Japanese multinational conglomerate corporation headquartered in Kōnan, Minato, Tokyo. The company operates as one of the world's largest manufacturers of consumer and professional electronic products, the largest video game console company, the second largest video game publisher, the second largest record company, as well as one of the most comprehensive media companies.Sony, with its 50 percent market share in the image sensor market, is among the semiconductor sales leaders and, as of 2015, the fifth-largest television manufacturer in the world by annual sales figures. It is the world's largest player in the premium TV market, a market for a television of at least 55 inches with a price higher than $2,500.Sony Corporation is the holding company of the Sony Group (ソニー・グループ, Sonī Gurūpu), which comprises Sony Electronics, Sony Semiconductor Solutions, Sony Pictures, Sony Music, Sony Interactive Entertainment, Sony Financial Holdings, and others.
The company's slogan is Be Moved. Their former slogans were The One and Only (1979–1982), It's a Sony (1982–2005), like.no.other (2005–2009) and make.believe (2009–2013).Sony has a weak tie to the Sumitomo Mitsui Financial Group (SMFG) corporate group, the successor to the Mitsui group. Sony is listed on the Tokyo Stock Exchange (in which it is a constituent of the Nikkei 225 and TOPIX Core30 indexes) with an additional listing in the form of American depositary receipts listed in the New York Stock Exchange (traded since 1970, making it the oldest Japanese company to be listed in an American exchange), and was ranked 122th on the 2020 Fortune Global 500 list.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Sony na TCL watangaza ubia; Televisheni za Bravia ni sehemu ya makubaliano

    Bila dalili za awali, kampuni ya TCL imetangaza mpango wa kununua kitengo cha burudani za nyumbani cha Sony, kinachojumuisha televisheni na vifaa vya sauti vya nyumbani. Kampuni hizo mbili zinatarajiwa kuingia katika ubia (joint venture), ambapo TCL itakuwa na hisa kubwa ya asilimia 51. Kwa...
  2. DEALFORREAL

    Sony a6600 camera, with 5 Lenses

    Nauza digital camera aina ya Sony Alpha a6600 camera, with 5 Lenses kama unavyoonekana katita picha imetumika kidogo sana ipo kama mpya kabisa bei ni 7.5 million TZS Sony 10-18mm f4 G lens Sony 18-105mm f4 G lens Sony 70-350mm f4 G lens Sigma 16mm f1.4 Sigma 56mm f1.4. Also comes with 2...
  3. Fbn

    Kampuni ya Sony wakati inaingia kwenye ushindani wa GAME, Playstation ilijiendesha kwa hasara mwanzoni ila sasa ndio yenye faida kubwa

    Ushindani michezo ya game miaka 80 -99 ulikuwa mgumu kwa kampuni ya sonny. Walichofanya wao katika kifaa chao walitengeneza kwa bei kubwa na kuuza bei ndogo. Kampuni za software za michezo zilivutiwa sana na ndio Playstation yenye michezo mingi ya game. Kipindi chote waliwezaje kumudu leo...
  4. WIMICKY

    Natafuta kioo cha sony 10iii

    Habari wakuu nina sony 10iii ilianza kuonyesha arama kam kotone ka wino kwenye kioo kadri nilivozidi kutumia na yenyewe ikawa inazidi kujaa wino kwenye kioo saa hizi hata siwezi kutumia tena na nipo mara nahitaji kioo chake
  5. DEALFORREAL

    Sony Alpha a6500 camera plus lenses and accessories plus zhiyun crane 3 lab gimbal

    Nauza digital camera aina ya Sony Alpha a6500 camera plus lenses and accessories plus zhiyun crane 3 lab gimbal .Hii camera imetumika sio mpya ina alama za michuniko kwenye body angalia picha kwa ufafanuzi zaidi lakini haina tatizo lolote inafanya kazi. Bei 3 million .3,000,000 TZS. ipo Zanzibar...
  6. relis

    Msaada wa kiufundi ktk home theatre ya sony

    Habari wakuu,Nina home theatre ya sony spika 5 nimenunua muda mrefu kidogo tangu 2013 na ilisimama Kwa matumizi Toka 2016 kutokana na changamoto eneo nililokuwa nakaa kukosa umeme Nimekuja kuiwasha imewaka vzr changamoto spika za nyuma surround pamoja na centre haifanyi kazi na hata niikomand...
  7. W

    Lunya alikuwa hot, kosa alilofanya ni kusaini label ya Sony, kajizika !

    Young Lunya alikuwa kwenye nafasi nzuri kwenye game kwa kutoa kazi mara kwa mara zilizo hit na kumpa umaarufu. lakini tangu asaini na label ya Sony Africa ni kama kajizika, Sony wamembana sana asitoe nyimbo kama alivyozoea, label haimpi kipaumbele.
  8. Teknolojia ni Yetu sote

    Mwaka 2078 game za playstation zitakuwa ndani ya mwili wa binadamu

    Mwaka 2000 Sony walitoa utabiri wa Ps9 itakavyokuwa mwaka 2078 Sijui mwaka 2000 ulikua wapi ? Na umri Gani ? Lakini mnamo mwaka 2000 Sony waliweza kutoa Tangazo la biashara la kushangaza ambalo linaloonyesha jinsi Playstation itavyokuwa miaka ijayo. Inasemekana mpaka kufikia mwaka 2078...
  9. Barantogwa

    MSAADA : SIMU YANGU AINA YA SONY SO 41B HAIPANDISHI MTANDO WA INTERNET.

    Wakuu nahitaji msaada, nina simu yangu Aina ya Sony so41b imekuwa haipandi mtandao wa intranet toka juzi, Chanzo cha tatizo kuna dogo nilipa alikuwa nataka kufanya mawasiliano na mtu, kumbe aliichezea mfumo wa setting hadi akawa ame backup hivyo kupelekea kila kitu kufutika. Nimejalibu kufanya...
  10. S

    Phone4Sale Tunauza simu

    LG style 3 Ram 4gb Storage 64gb Clean Bei 250,000/= Ubungo darajani 0️⃣6️⃣9️⃣3️⃣1️⃣7️⃣6️⃣1️⃣9️⃣7️⃣
  11. Mbabani

    Msaada Sony xz1

    Habari wakuu. Napata shida kutumia simu aina ya Sony xz1. Kila nikitaka kununua kifurushi inatakiwa niwashe data. Hata kama nabonyeza menu ya M PESA (*150*00#) JE NIFANYEJE?
  12. Lord Lofa

    Sony kuzindua PS5 Pro Novemba

    Wadau wa teknolojia ya gaming, leo Sony wametoa wasilisho la kitaalamu kuhusu sifa za Ps5 Pro ambayo itazinduliwa rasmi Novemba 7, kwa wale wa pre order dirisha litafungufuliwa 26 septemba, na Bei katika maduka yao itaanza kwa $699 tu, hiyo ikiwa ni version isiyo support disc...
  13. Msela Wa Kitaa

    Msaada Wa Jinsi Ya Kuwasha Data kwenye simu ya Sony SOV39

    Msaada tutani wakuu nimsaidie jamaa yangu Sehemu ya data ipo on lakini kwenye screen haionekani kuwa on, hata ukiingia mtandaoni hapafunguki
  14. Rumi96

    Phone4Sale Nahitaji simu second hand, Vivo, Oppo au Sony.

    Wakuu, hoping mko salama. Nahitaji simu second hand, isiwe ya wizi, ikiwa na receipt au used toka nje itakua vema zaidi. Iwe miongoni mwa brands tajwa hapo juu. Specs 1. Resolution iwe na 1080x2400 au zaidi 2. RAM 6 au above storage 128. 3. Battery 4000 au above 4. Dual simu (ikiwa na esim)...
  15. jahanbaksh

    Chukua Infinix Smart 7 au Sony Experia 8 kwa 170 na 180

    Sony Experia 8 Rom 64 GB PRICE 180
  16. L

    Iphone X kwa bei ya 485,000 used from dubai

    Karibuni boss zangu. Iphone X zipo za kutosha tupo kariakoo .storage 64gb,256gb . Kwa mawasiliano piga 0695022051 Whatsapp 0734123440
  17. Basi Nenda

    Natafuta spare ya Sony MHC-GNZ7D

    Ningependa kufahamu ni wapi hasa nitaweza kupata spare ya Radio Sony MHC-GNZ7D, spare ninayohitaji ni part yote ya mbele ya Radio,kuanzia chini ya cd door mpaka milango ya tape cassette hapo chini, kwa kifupi ni kwamba Radio imepasuka sehemu yote ya milango ya tape sasa nataka kuirudisha...
  18. NetMaster

    Nitoe tahadhari kwa mnaotaka kununua simu za Sony Xperia Z1, Ni bei rahisi kamera kali ila utajuta kwenye Network.

    Ni kwa toleo lile lilioandika nyuma Docomo kutoka Japan - SO-O1K. niliwahi kununua simu hii yani kamera ni kali, ram si 4gb, battery inachaji fasta na inakaa, simu ngumu, n.k ila kwenye network sasa!! ukiwa mjini centre utaiona simu iko poa kabisa inashika 4g+ ni ngumu kujua kuna tatizo...
  19. BARD AI

    Familia yaridhia Sony Music Africa waachie album mpya ya AKA

    Timu ya Rapa #AKA kwa kushirikiana na Kampuni za Kusimamia Kazi za Sanaa Sony Music Entertainment na The T Effect zimepata baraka za familia ya #JarrydForbes kuachia albam kama alivyopanga mwenyewe. Mkurugenzi Mtendaji wa #SonyMusicAfrica, Sean Watson amesema “Mioyo yetu imevunjika, tumepoteza...
  20. CORAL

    Sony na teknolojia ya S-Force Front Surround, Sound Pressure Horn

    Utazamaji wa filamu wa sasa sio kama ule wa zamani ambapo unasimuliwa matukio kwa kutumia picha zinazosonga (movie) na sauti kwenye mifumo ya stereo ukiwa umeketi sebuleni au kwenye ukumbi wa sinema bali sasa surround sound technology kujumlisha na video za 3D imewezesha mtu ‘kupelekwa kwenye...
Back
Top Bottom