social networks

  1. JamiiForums Tanzania Je, unataka kazi mashirika ya kimataifa au scholarship nje? Achana na ma CV ya karatasi mambo yote iko kwa social networks

    Maisha ni very simple watu ni vile tu Hawajui skia nikupe mbinu ukiitumia basi una 70% ya kufaulu.. tuseme una mpango wa kuomba kazi international organization fulani labda mwakani basi safari yako inapaswa uanzie sasa...hata kama una elimu nzuri una master yako ila jua kwa sasa dunia tuko...
  2. JamiiForums Tanzania How to Make Money Using Social Networks

    In today’s digital age, social networks offer numerous opportunities for making money. With billions of users globally, platforms like Facebook, Instagram, Twitter, LinkedIn, and TikTok can be powerful tools for generating income. Here are several strategies to leverage social networks...
  3. JamiiForums Tanzania SoC02 Mtandao

    Mambo vipi? Nimekuja kukuambia machache kuhusu mimi mpenzi wangu. Mimi ndiye ninayekufahamu wewe kuliko hata unavyojifahamu wewe, Naam. Mimi ndiye ninamjua mpenzi anayekufaa kuliko hata wazazi wako wanaokushauri kila siku, umesahau juzi ulikuwa una-gugo sifa za mpenzi bora? Ni mimi huyuhuyu...
  4. JamiiForums Tanzania WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

    Au tatizo hili ninalo mimi tu? ---Update---
  5. JamiiForums Tanzania Jiongezee Kipato : Natafuta Mfanyakazi wa Kuziendesha Account zangu za Social Networks

    Kama wewe uko home tu huna kazi yeyote yawezekana upo unatafuta kazi bado hujapata au ni mama wa nyumbani,au ni kaka wa nyumbani kazi yako kubwa ni kuingia mtandaoni kusoma kuangalia dunia inaendaje nk. Leo nimekuja natafuta mtu aina yako,ambaye ataweza Post matangazo 24/7 na kujibu comment za...
  6. JamiiForums Tanzania Vifupisho vinavyotumika sana kwenye mitandao ya kijamii

    Ni ukweli usiopingika kwamba maendeleo ya sayansi na teknolojia, yamefanya matumizi ya intaneti kuongezeka sana. Matumizi ya intaneti nayo yamekuja na mambo mapya, katika ulimwengu wa sasa, mawasiliano kupitia mitandao ya kijamii, kama Facebook, Instagram, Whats App na kwingineko ni kitu cha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…