sirro

Paul Sironen (born 23 May 1965) is an Australian former professional rugby league footballer of Finnish descent who was a prominent Second-row forward for the Balmain Tigers during the late 1980s, and early 1990s. He was part of the team that played in successive Grand Finals in 1988 and 1989, and included other representative players Steve "Blocker" Roach, Wayne Pearce, Benny Elias and Garry Jack. He made a number of appearances for both New South Wales in State of Origin, and also for Australia, and has been named as part of the Wests Tigers Team of the Century.
Sironen is the father of Manly-Warringah Sea Eagles second rower Curtis Sironen who made his NRL debut for the Tigers against the North Queensland Cowboys in Round 12 of the 2012 NRL season and Bayley Sironen.

View More On Wikipedia.org
  1. Mchungaji Gwajima ni wa kukamatwa na kufunguliwa kesi ya Uchochezi, Uhaini na Ugaidi

    Napenda kutoa Rai kwa Vyombo vya Ulinzi na usalama kumkamata mara moja Mh Gwajima, kumuhoji na kumshitaki kwa counts tatu za msingi.Sitaki kuzungumzi hotuba ya Mch Gwajima kanisani kwake juzi, kwani si jambo geni humu na litaunganisha uzi na nyuzi zingine kama hizo. Mods Nakimbilia moja kwa moja...
  2. M

    Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

    Baada ya upekuzi wa Polisi kukamilika nyumbani Kwa M.Kiti Mbowe, tumepokea taarifa za kushtua na kushangaza kuwa Polisi wamemwambia kuwa ataunganishwa kwenye kesi ya Ugaidi na watuhumiwa walioko gereza mojawapo DSM. Tutaendelea kutoa taarifa za kina hapo baadaye. ==== UPDATES; =====...
  3. B

    La Mwanza: Kwenu Mama Samia na Kamanda Sirro

    Kama habari hizi zinazotufikia ni kweli kuwa haya ndiyo yaliyojiri Mwanza: basi mnakoipeleka hii nchi siko. Kwa vile ni kinyume cha katiba na sheria zote ndani ya nchi hii, itoshe kuwataka kuirekebisha hali hii bila kuchelewa na kuwachukulia hatua wote wanaohusika, kama nyie siyo sehemu ya...
  4. Bado tunajiuliza nani alitudanganya kati ya Kamanda Sirro na Mwigulu Nchemba?

    Wakati Tundu Lissu kabla hajashambuliwa kwa risasi alikuwa analalamika kuwa kuna gari inamfuatilia. Sisi ambao siyo wanaintelijensia tulikaaa kimya kusubiri majibu ya wataalam na viongozi. Na haya yalinenwa na wakuu wetu: Waziri wa mambo ya ndani, wakati huo Mwigulu Nchemba, alisema kwamba...
  5. J

    IGP Sirro: Nitawashtaki Wenyeviti wa Serikali za Mitaa Wazembe kwa Wakurugenzi ili wabadilishwe

    IGP Sirro amesema atawashtaki kwa wakurugenzi wa halmashauri wenyeviti wazembe wa serikali za mitaa ili ikiwezekana waondolewe na nafasi zao kujazwa na watu wengine. Sirro amesema wenyeviti wa serikali za mitaa wanapaswa kusimamia ulinzi katika maeneo yao na kwamba hapa Tanzania askari mmoja...
  6. IGP Sirro unafahamu kuwa vijana wako wanachukua posho kuachia Bar za usiku kupiga kelele?

    Nimeileta hii kwa makusudi baada ya kutazama hiyo video hapo chini ya kina Mama wakijitetea kwa maafisa wa polisi juu ya kuondolewa kwao kwenye ukumbi wa starehe kwenye hafla yao. Waliagizwa kuwa wazime muziki kwa sababu tunazozifahamu, lakini hoja kuu hapa ni kuhusu hawahawa maaskari kwa sisi...
  7. Kamanda Sirro, wakazi wa Buza tunaomba ufanye yafuatayo kwenye kata ya Buza

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Buza. Jeshi la polisi ndugu IGP Sirro tafadhali sana tunaomba uboreshe mazingira kwenye kituo cha polisi Buza. 1. Kituo hakina umeme, ikifika saa 11 jioni panakuwa kimyaaaa. 2.Kituo hakina maji, sijui mahabusu wanajisafisha na majani? 3.Mapolisi hawazidi...
  8. Simon Sirro uliwabipu majambazi, wamekupigia umebaki unahaha

    Sirro IGP. Magufuli aliwahi kukwambia. Namnukuu.. " I wish I kudu bii IGP"... Wki hizi mbili nimekaa nikiitafakari kauli ile ya Hayati. Alipo isema awali..wengi tulihisi amekudhalilisha...amekudharau na anaingilia mamlaka. Tulikuonea huruma. Kumbe hukustahili kuonewa huruma hata kidogo...
  9. M

    Ni jambo zuri Jeshi la Polisi kuanza operation maalumu Jiji la Dar es Salaam

    Pongezi kwa jeshi la Polisi kwa kuona umuhimu wa kufanya ilo 1. Dar es Salaam sio yenye uwalifu pekee. Labda kama wanaanza apa alafu wandelee Mikoa mingine 2. Pili wezi gani wanaotafutwa? i . Wakuiba vipuri vya magari majumbani mwa watu? ii. Wakuiba Tv majumbani mwa watu iii. Wezi wa...
  10. Q

    Mabadiliko Jeshi la Polisi: IGP Sirro ampeleka Kamanda Mambosasa Dodoma, Wambura amrithi kanda maalum Dar

    SACP CAMILIUS WAMBURA KAMANDA KANDA MAALUM DSM === INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro amefanya mabadiliko madogo kwa baadhi ya viongozi ndani ya Jeshi la Polisi ambapo amemhamishia Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Lazaro Mambosasa kutoka kuwa kamanda wa polisi Kanda...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…