Simu Liu ( SEE-moo LEE-yoo; Chinese: 刘思慕; born 19 April 1989) is a Canadian actor. He is known for portraying Shang-Chi in the 2021 Marvel Cinematic Universe film Shang-Chi and the Legend of the Ten Rings. He also played Jung Kim in the CBC Television sitcom Kim's Convenience and a Ken in Barbie. He received nominations at the ACTRA Awards and Canadian Screen Awards for his work in Blood and Water.In 2022, Liu authored the memoir We Were Dreamers, and was named one of Time's 100 most influential people in the world, in the section "Artists."
Wakuu poleni na matatizo yanayoikumba nchi yetu. Poleni kwenu mliopoteza ndugu, jamaa, na marafiki kutokana na yaliyojiri oct29
Bila kuwachosha. Kuna msemo maarufu usemao """Wajinga ndiyo waliwao"""'
Ilikuwa tarehe 20 mwezi wa 11 mwaka 2025 ndo siku ambayo kwa mara ya kwanza nilihisi...
Habari za majukumu wanajamvi!?
Natamani kufanya biashara ya simu used za batani ila sijui pa kuzilangulia na garama za kulangua mzigo zipoje, humu jamvini hakuna linaloshindikana kwahiyo Naomba mnijuze machimbo ninayoweza kupata mzigo.soko la kuuzia tayari ninalo......natanguliza shukran
#Mwanakidigitali utajisikiaje umetoa pesa yako kununua simu kisha ukauziwa simu yenye matatizo kibao.
Moja kati ya hofu ya Wateja wengi kutoka Tanzania wanapotaka kununua simu / Laptop used kutoka Dubai ni kuuziwa bidhaa zenye shida kedekede na pia bidhaa feki.
Nimekuwa kwenye soko la...
dubai
kabla
kariakoo
kukagua
kununua
kutoka
maduka
mambomuhimuyakuzinagatiakwenyesimu
matatizoyasimuusedkutokadubai
simusimuusedsimuzauborakariakoo
usa
used
wauzalaptopborakariakoo
wauzasimuborakariakoo
Habari, natafuta simu, kwa yeyote aneuza simu yake anicheki.
Bajeti yangu mwisho 200,000
Nicheck whatsapp 0622905303
Kampuni yoyote we njoo na sim yako inbox.
Ahsante
Muuzaji uwe dar
Nimeamua kuandika makala hii bbaada ya kuona watu wengi Wanaibiwa , Kupigwa bei kali na kuuziwa simu feki au Bandia. Mpaka wengine wanaogopa kabisa kununua simu used kutoka nje…
1. Hakikisha Iko na Warranty au Dhamana
Baadhi ya simu zinazotoka Dubai huuzwa bila dhamana, na huwezi kuzirudisha...
Naomba Kupata Experience Ninatakiwa Kuwa na Shilingi Ngapi Kuuanzisha Biashara ya Simu Used From another Country?
Faida Yake Ipoje?
Na Changamoto Zake?
Ahsante Sana!
Habari za Leo Wana jamvi.
Hivi simu hizo wanazotuambia wanaagiza from Dubai Korea Japan n.k hivi Zina uhai wowote au tunapigwa tu.
Nataka ninunue Samsung note 10 au Aquos R6 hiz wanazosema ni used from Dubai.
Au kama Kuna link ya kununua Moja Kwa Moja kutoka Dubai mnipe hapa
Naombeni mawazo yenu
Watu wengi wanapenda simu za kisasa zenye uwezo mkubwa kwa bei ya kawaida. Hali hii inapelekea wengi wao kuamua kununua simu zilizotumika (used) kutoka nje ya nchi, katika masoko maarufu kama Kariakoo au Makumbusho, na maeneo mengine.
Hivi karibuni, kupitia jukwaa hili, kumeibuka mjadala mkubwa...
Habari wapambanaji wa kutafuta ugali wa kila siku. Mpambanaji mwenzenu nimekuja kwenu mnijuze wapi naweza pata simu used za halali sio za wizi Kwa bei ya jumla nami nikafanya biashara.
Sijajua wafanya biashara wa Kariakoo wanazitoa wapi na ukijaribu kumuuliza mfanya biashara yeyote Kariakoo...
Habari za mchana wakuu, natumai hamjambo kabisa na mnaendelea katika harakati za kusaka mkate na kwa wale wanaugua Mungu awaponye kwa uwezo wake tuseme Amin !!
Kwanza kabisa mimi ni mtu ambaye karibia kila baada ya dakika 5 lazima nizame kwenye deep thinking kuhusu kitu chochote (positive...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.