Katika kuifanya Tanzania kuwa nchi ya kidigitali ntapiga marufuku matumizi ya simu ndogo a.k.a viswaswadu ili kuhimiza matumizi ya digital
Mpango huu uatenda sambamba kuhakikisha bei ya smartphone inakuwa chini sana hata kwa elfu 30 unapata smartphone mpya kwenye box
Habari za majukumu wanajamvi!?
Natamani kufanya biashara ya simu used za batani ila sijui pa kuzilangulia na garama za kulangua mzigo zipoje, humu jamvini hakuna linaloshindikana kwahiyo Naomba mnijuze machimbo ninayoweza kupata mzigo.soko la kuuzia tayari ninalo......natanguliza shukran
Simu ndogo aina ya i 17 Pro 45,000 TZS.
Sifa za simu:
1. Inatumia laini mbili
2. Ina trey ya kuwekea laini
3. Betri yake ipo ndani kwa ndani
4. Ina pin ya kutolea laini
5. Inakaa na chaji muda mrefu
6. Display yake nzuri sana
Rangi tulizo nazo ni Kama ifuatavyo:
Karibuni:
Mawasiliano...
Wakuu nilikuwa napitia bei za vitochi vya Nokia alibaba naona ni ndogo sana
nawaza nijaribu japo kwa piece 4 , ila sina uzoefu wowote naombeni muongozo wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.