Kisa cha Siku ya Ashura 🤍
Siku ya Ashura ni siku ambayo Allah alimwokoa Mtume Musa na wana wa Israil kutoka kwa Firauni na jeshi lake. Bahari ilipasuka kwa amri ya Allah, Musa na watu wake wakaokoka, huku Firauni na jeshi lake wakazama.
Mtume Muhammad ﷺ alipofika Madina aliwakuta Wayahudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.