siasa za kimataifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Wale tunaopenda mambo ya geo politics, vita, siasa za kimataifa tuanze kuweka mizigo tunufaike na pesa, tusiishie kulumbana tu humu

    Wale tunaopenda mambo ya geopolitics, vita, na siasa za kimataifa, hebu tufikirie hatua inayofuata. Mara nyingi humu tunakesha kujadiliana, kubishana na kuchambua matukio ya dunia kuanzia migogoro ya kimataifa hadi mikakati ya mataifa makubwa. Ukweli ni kwamba kuna watu wengi humu wana uelewa...
  2. K

    Hawa Wachambuzi wa Siasa za Kimataifa, wakiichambua USA unaweza ukajua inaanguka kesho. KUMBE!

    Hawa wachambuzi wako TikTok huko, wakianza kuichambua USA unaweza ukaamini uchumi wa USA ni dhaifu sana na soon mchina ana take over. Lakini hali ni tofauti kabisa. USA ni watu hatari linapokuja swala la maslahi yao. Wameanza na kumiliki mafuta ya Venezuela ambayo Mchina alikua akiyanunua...
  3. tonicimmobility

    Mahakama ya Cameroon yamzuia Mpinzani wa Rais Paul Biya kugombea urais

    Mahakama ya Katiba nchini Cameroon imemzuia mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa Maurice Kamto kugombea urais dhidi ya Rais Paul Biya, ambaye ana miaka 92 na amekuwa madarakani tangu 1982! Mahakama imesema Kamto amechelewa kuwasilisha maombi ya kuwania urais kupitia chama kipya cha MANIDEM...
  4. Rorscharch

    Kwanini ni ngumu Iran kuivamiwa na Marekani na vibaraka wake (Israel) kwa vikosi vya ardhini?

    Ndiyo, wanaweza kutuma ndege na kurusha makombora. Lakini si kuthubutu kutuma askari wa ardhini – maana ardhi ya Iran si ramani ya kuchora, ni kaburi la majeshi ya kiburi. Uvamizi wa Ardhini ni Mtego, si Mafanikio Marekani na Israel wanajua fika kuwa kuivamia Iran kwa vikosi vya ardhini si...
  5. L

    PICHA: Huyu Ndiye Mstaafu Nguli Wa Diplomasia Na Siasa za Kimataifa Aliyebakia Barani Afrika Na kuheshimika Kupita Kiasi

    Ndugu zangu Watanzania, Katika Bara lote La Afrika Kwa sasa limebakiwa na Mwanadiplomasia Mmoja tu na pekee mstaafu ambaye ndiye Nguli ,bingwa na bobezi katika siasa za kimataifa na mwenye uwezo wa ushawishi na kushawishi jambo na kukubalika. Ndiye Mwenye Uwezo , kumbukumbu,maarifa ,ufahamu wa...
  6. Tony Yeyo

    Anahitajika mtaalam wa kuchambua siasa za kimataifa

    Wakuu habar zenu Nahitaji mtalamu wa kuchambua siasa na habari za kimataifa ili tufanye kazi katika Chaneli ya youtube , malipo ni makubaliano Sharti awe mkoa wa mbeya
  7. NUMBER 10

    Kashfa ya signalgate: Siri za kijeshi na athari kwa siasa za kimataifa

    Washington DC Katika tukio linalotikisa anga za kisiasa na kijeshi za Marekani, uvujaji wa mazungumzo ya siri ya maafisa waandamizi umefichua mjadala wa kina kuhusu mipango ya mashambulizi dhidi ya waasi wa Houthi nchini Yemen. Kisa hiki, kilichobatizwa jina la SignalGate, kimeibua maswali...
  8. Dalton elijah

    Je ni nani Mwenyekiti wa Umoja wa Mataifa?

    Napenda Kuuliza Tumezoea kuona Taasisi kubwa Duniani zikiwa na uongozi kamili kuanzia Ngazi ya juu hadi ngazi ya Mwisho leo napenda kuuliza je Ni nani Mwenyekiti wa Umoja wa Mataifa Maana Tumekuwa tukisikia cheo kimoja cha katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ?
Back
Top Bottom