siasa za chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mwanamwana

    PreGE2025 Tundu Lissu arejea nchini, asema atagombea urais 2025 kuitikia wito wa Watanzania

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amesema nia yake ya kugombea nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 iko palepale. Tundu Lissu ameyasema hayo leo, Julai 26, 2024 katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam alipowasili...
  2. Freyzem

    PreGE2025 Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika yuko wapi?

    Wanajamvi, huyu Mwamba John Mnyika ambaye ni Katibu Mkuu wa CHADEMA amekuwa kimya sana hivi sasa! Haonekani mara kwa mara kwenye mikutano ya chama mikoani akiwa na viongozi wengine, Je nini kimempata? Hata wakati ule CHADEMA walivyotangaza maandamano katika mikoa tofauti hakuonekana sana...
  3. J

    Je, Msajili wa Siasa ataichunguza Chadema dhidi ya madai ya Mtu mmoja Kufanya Maamuzi yote ya Chama?

    Kama tuhuma za mchungaji Msigwa Kwamba Mbowe Ndiye anaamua mambo yote ya Chadema basi hicho Siyo Chama cha Demokrasia bali Udikteta Je, msajili wa vyama vya Siasa ataichunguza Chadema pamoja na hesabu za matumizi ya Chama?
  4. D

    Chadema hawajui kula na kipofu sijui shida ni elimu ndogo au?

    Rais Samia alipoingia madarakani alionesha kukerwa na udictator wa Magufuli wa kukataza siasa za upinzani ispokuwa siasa zibaki zinafanywa na ccm tu. Hapo tukaona mikutano yote ilizimwa. Samia akasema no katiba lazima ifuatwe. Badala ya CHADEMA kuona sasa mwanga umeonekana mana siasa ni ajira...
  5. M

    PreGE2025 Mpasuko wa CHADEMA tatizo ni Asali, Ukabila na Uenyekiti Taifa

    Kwa muda mrefu sana, CHADEMA wamekuwa wakilaumu kukwama kwa maridhiano kwa sababu ya CCM kutokukubaliana na madai yao mengi. Jambo hili liliwashangaza Watanzania wengi wanaofuatilia siasa, kwani ni CHADEMA wenyewe waliotamka kuwa moja ya masharti ya kuanza maridhiano ilikuwa ni kuachiliwa kwa...
Back
Top Bottom