Hii ni hali ya mkinzano (conflict) kati ya kutoelewa kiundani nafasi ya siasa katika maisha, na athari halisi ya siasa katika maisha ya kila siku.
Sababu Kuu Kwa Nini Watu Husema “Siasa Siyo Maisha Yao”sababu ya Kutoelewa Siasa kwa Maana Halisi ambayo Wengi hudhani siasa ni Vurugu na mabishano...
Kimepita kitambo Sasa tangu msanii Roma mkatoliki atuburudishe Kwa nyimbo zake za kufikirisha.
Kwa Hali ilivyo Sasa nakuomba Roma mkatoliki tia neno juu ya haya yanayo endelea.
Tanzania tuitakayo ni nchi inayoongoza katika demokrasia na utawala bora barani Afrika. Ni nchi ambayo kila raia ana sauti katika kuchagua viongozi wake na kuamua mustakabali wa taifa lake. Ili kufikia Tanzania hii tuitakayo, tunahitaji kuboresha mfumo wetu wa uchaguzi kwa kutumia teknolojia ya...
demokrasia
gharama za uchaguzi
maendeleo endelevu
siasanamaisha
tanzania tuitakayo
teknolojia ya uchaguzi
tume ya uchaguzi
ushiriki wa vijana katika siasa
ushiriki wa wanawake katika siasa
vyama vya siasa
Maamuzi yote yanayohusu nchi hufanyika chini ya mwamvuli wa siasa, ni muhimu kwa kila raia kujua kinachoendelea ili kupata taarifa sahihi zitakazomuwezesha kufanya maamuzi sahihi pale anapochagua kiongozi.
Masuala ya kisiasa yana nafasi gani katika maisha yako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.