Mnatupeleka wapi
Muache kututumia msg za ajabu enyi yas
Kwanza mnaatuma msg weka hela kuanzia bk 2000 tar flan tunaweka bk 5
Hakuna cha zawadi wala mawadiiii
Sasa mnantumia niimepata gb 8 hizo gb za wifi ama??mbona sizioni??????
EnyiYAS ACHANENI NA HAYA MA MSG TUMECHOKA
Kama mada inavyojieleza, katika harakati zangu za kutafuta side hustle nlikutana na hiyo idea ya forex. Ila baada ya kufanya research matokeo yalikuwa negative especially kwa hapa JF.
Inavyoonekana kuna watu washalizwa kupitia forex na wanaishi na hiyo trauma. Maada yoyote inayozungumzia hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.