Kwa hali ya Taifa letu ilivyo kwa sasa, ni taifa la uovu, na kila anayeongelea HAKI katika uchaguzi, kila anayechukia dhuluma kwenye uchaguzi, huyo maisha yake yapo hatarini. Lakini waovu wanaoshangilia uovu wa kubariki mifumo ya uporaji haki wakati wa uchaguzi ili CCM itangazawe mshindi bbila...