Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA; Swahili for National Arts Council) is the national council founded in 1984 by government legislation to serve as a facilitator and promoter of Tanzanian arts, music and theatre arts. BASATA is an official parastatal organization established under the National Arts Council Act No. 23 of 1984. It is a government agency for the revival, promotion and development of the arts in Tanzania.
Siri Kali Chumbani Mwangu
Serikali iko ndani mwangu,
Inapanga jinsi ya kulea wana wangu,
Vijiko vya sukari jikoni kwangu,
Hata aina ya fikra za mke wangu.
Sera kali zote dhidi yangu,
Hakuna tena faragha ya kuwa mtu wangu.
Uhuru sasa si wangu,
Bali kauli mbiu moja,
Hakuna kosa dhidi ya...
Katika kipindi cha Julai 2024 hadi Aprili 2025, Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Tanzania umetoa mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 2.69 kwa miradi 143 ya utamaduni na sanaa.
Katibu mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania bwana Farid Kubanda maarufu kama Fid Q amesema ndani ya kipindi cha miaka 4, Rais samia ametoa Trilioni 13 kwa ajili ya maendeleo ya muziki na sanaa Tanzania.
Unaweza kuendelea kumsikiliza hapa.
Pia kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.