Japo sikumbuki mheshimiwa daktari, profesa, mbeba maono kuandika lolote la kustahili kuhusishwa na kalamu, nina shaka na 'tuzo' za Samia Kalamu.
Kama tuzo zingekuwa dili, basi zingeanza kwa wakulima. Je ni kwanini ameanza au kupendelea wana habari?
Soma Pia: Washindi wa tuzo za Samia Kalamu...