salon

The Salon (French: Salon), or rarely Paris Salon (French: Salon de Paris [salɔ̃ də paʁi]), beginning in 1667 was the official art exhibition of the Académie des Beaux-Arts in Paris. Between 1748 and 1890 it was arguably the greatest annual or biennial art event in the Western world. At the 1761 Salon, thirty-three painters, nine sculptors, and eleven engravers contributed. From 1881 onward, it was managed by the Société des Artistes Français.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Fingercoil ya Juicy curl, Timoth salon Mwanza

    0744597493 Karibuni sana Tunapatikana Mwanza jengo la dubai..pembeni ya hospitali ya Salaman Tunatoa na huduma nyingine pia kama Wavu, mirija, curlkit, kutoboa masikio na pua, Kucha, Kope, short wig (pixie), Kunyoa, Make up, Kubond,,Rough dread, Sisterlocks, Kusuka kawaida, Dreadlocks...
  2. nipo online

    Samahan wakuu, kati ya kuongeza Salon ya pili na Library ya movie bora kipi?

    Ni salon ya kiume, tayarii nina computer imebaki tu kununua storage bas, Lakin kuna mawazo yamenijia Leo usiku kua kwanini nisiongeze saloon ya pili ambayo kwa eneo naloishi kwa wiki napata 75000-85000. lengo nisogeze kama mita 200 hivi kutoka hii salon ya hapa iliyopo, nikaona nije kwanza...
  3. nipo online

    Kwenye salon kuweka free Wi-Fi kwa lengo la kutoza wateja 500 ili aperuzi

    namba kujua kama hich kitu kinaweza kua na Tija, yani mteja akiwa anakuja kunyoa namwambia aongeze jero kama charge ya network, naomba mnirekebishe hapa kabla sijaharibu pesa je nifanye vip ili nipate pesa kupitia free WiFi salon ya kiume, maana nina wateja wengi salon iko uswahili wateja wengi...
  4. M

    Mdada wa Kufanya kazi Barbershop - Mazingira ya kazi ni mazuri

    Anahitajika mdada anayejua vizuri huduma za salon, Kindly check me inbox
  5. 90sgeneration

    Ushauri unahitajika, wale wanaojua Men salon issues

    Wakuu habari zenu. Naleta ombi kama nilivotumiwa mshauri huyu binti. Ni binti 28yrs now, Yuko manispaa ya urambo mjini Tabora uko. Nyumbani kwao anakoishi sasa wana fremu za biashara kama nne, na fremu moja iliokua na saloon ya kiume imebaki wazi, aliekua hapo ameoa na kahamia Mwanza, alikua...
  6. nipo online

    kwa uwekezaji huu nlioufanya, Je niendelee na ajira nilipoajiriwa?

    kama kichwa cha habari hapo juu, nimekomaa toka mwaka jana nimebahatika kuunda izo kitu na mwote humo wako watu wanapiga kazi, salon ya kiume mwenyewe pia ni fundi kunyoa jioni na wikiend nakaa kupiga kazi, duka ni la mangi tu la kawaida, je no sahihi au niachane na kufundisha nije kusimamia...
  7. T

    Tofauti ya Wanaume na Wanawake wanapokwenda Salon kutengenezwa

  8. nipo online

    Je ni halali katika salon kuweka na desktop kwa ajili ya kurusha movies?

    Nimewaza bora niuwe ndege wawili kwa jiwe 1 vip hii inaweza kufaa na vip changamoto zake?maana itakua two in one. Asanteni wakuu.
  9. nipo online

    Kununua bodaboda na kufungua salon

    Samahan wakuu hapo sasa kipi kitanipa pesa? Asanteni
  10. Julius Husseni

    Duka la mangi vs men salon

    Wakuu, wale wenyewe experience ya aina hizi mbili za businesses ipi inaweza ikaleta manufaa kwangu? NB mi mwenyewe ni fundi ila nitakua sikai mimi labda mi nitakua nakaa kuanzia jioni. Sababu nina mishe ingine pale atakua anakaa dogo so. Asanteni.
  11. M

    Mchanganuo wa biashara ya saluni (vifaa/matumizi/faida)

    Salamu Wakuu Leo Napenda Kuwashirikisha Katika Mchanganuo Huu Wa Biashara Ya SALOON Hasa Ya Kiume. Biashara ya SALOON Ya Kiume ni Wazo Zuri. Hapa chini Nimekuandalia Mchanganuo Wa Biashara Hii Pamoja Na Gharama Halisi (Makadirio) Za Kuanzisha Saluni ya Kiume. KUMBUKA BEI/GHARAMA ZA VITU HAPA...
Back
Top Bottom