Wanabodi umofia kwenu
Nianze kwa kumpa pole na hongera Mh. Rais Magufuli kazi njema anazofanya kila siku,
Hoja yangu ni alipokuwa anaingia Madarakani alipiga marufuku mikutano ya kisiasa na kusema tufanye kazi siasa itakuwa kipindi cha uchaguzi.
Sasa tupo katika kipindi hiki cha uchaguzi...
WAJUMBE SALAAM!
Hivi karibuni kumejitokeza matukio ya utovu wa nidhamu mashuleni na adhabu mashuleni.
Nianze na utovu. Miaka ya leo wanafunzi wameshuka kinidhamu sana. Yapo matukio ya walimu kupigwa, kutukanwa, kukejeliwa na mwalimu anapochukua hatua stahiki wanafunzi huja juu kwa kumtishia...