TTCL ni moja ya taasisi muhimu sana katika historia ya mawasiliano Tanzania. Ilikuwa uti wa mgongo wa mawasiliano ya taifa kwa miaka mingi. Hata hivyo, leo hii TTCL inaonekana kufeli au kuendelea kufanya underperform licha ya kuwa na rasilimali, miundombinu na nafasi ya kipekee kama shirika la...
Hivi wewe mdau pia huwa unaumia ukiona mwanafunzi kafeli masomo yake. Au na wewe ni miongoni mwa warusha lawama kwa serikali na walimu. Je wewe huwa unabeba effort Gani kunusuru hiyo hali. Mdau mwanafunzi kufeli sio poa aisee. Kwani shida ni wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.