Na Mjumbe wa Nafsi za Watu
Je, ukoloni pekee ndiyo unaolaumiwa? Au kuna mengine zaidi? Hili ni swali ambalo linaibuka tena na tena miongoni mwa wachambuzi wa historia, maendeleo na siasa za kimataifa. Mara nyingi, hoja maarufu inayorudiwa ni kwamba mataifa ya Afrika yamekuwa nyuma kwa sababu...
Kutokana na jinsi nchi ya marekani taratibu zake zilivyo tumeona namna haikuwezekana hongo ya Qatari ya ndege ya dola milioni 400 kwa Tramp kua siri na ikabidi iitwe ni zawadi.
Ukifuatilia utagundua Qatari hawajatoa zawadi kwa rais wa marekani ila kwa Donald Trump yaani aweze kutoka nayo baada...
Nawasalimu nyote hapa JF.
Niende Moja kwa Moja kwenye mada tajwa hapo juu hasa inayowahusu baadhi ya viongozi wetu wa dini waliokaririwa na vyombo vya habari wakiwaonya waumini wao kuhusu ajenda inayozungumzwa katika mikutano ya CHADEMA kuhusu no reforms no election/bila mabadiliko hakuna...
Leo Machi 27, 2025 majira ya saa 5:00 asubuhi Rais Samia Suluhu Hassan atapokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ya mwaka 2023/2024 Ikulu Dar es Salam.
https://www.youtube.com/live/5EZXxHObW-k?si=aMlOZdDHTaaGHgmt
TUJIKUMBUSHE ALICHOSEMA RAIS SAMIA BAADA YA KUPOKEA REPOTI YA...
Mamlaka ya usafiri na uchukuzi fuatilieni hili swala, mama kama huyu kusafiri mikoa yote mzigo wake ukiwa sawa alafu ghafla anazuiliwa kwenye mzani wa mwisho inafikirisha sana.
Kuna mazingira ya ubovu wa mizani, UNYANYASAJI kwa mwanamke kwa kuzingatia majibu ya meneja kuwa "wewe ni mwanamke na...
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kusaini mikataba ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini ili Mikoa hiyo ipate umeme wa uhakika na iondokane na adha ya umeme kukatikakatika.
Rais Samia amesema hayo baada ya kufungua mradi wa...
bwawa la nyerere kukamilika
bwawa nyerere kukamilika
mgao pesa za escrow
rais samia
rushwaafrika
tanzania kununua umeme
tanzania kuuza umeme
umeme
upigaji mali za umma
Bakari Ubena - Dw Swahili
Kumeibuka hali ya kutia wasiwasi barani Afrika ambapo watu wanaofichua taarifa mbalimbali hawapatiwi ulinzi wa kutosha baada ya kufichua maovu, na mara nyingi watu hao hujikuta wakijipigania usalama wao na wa wapendwa wao.
Wafichuaji hujikuta wakilaazimika kujilinda...
Suala la rushwa na ufisadi ni mambo linalosumbua duniani kote. Rushwa inatikisa katika mataifa mengi ulimwenguni yaliyoendelea na yasiyoendelea na ushahidi unaonyesha kuwa rushwa inaumiza watu maskini kupita kiasi.
Kwa mujibu wa makala iliyotolewa katika tovuti rasmi ya Serikali ya Afrika ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.