Nimekuwa nikimfatilia ndugu Robert Heriel Mtibeli pamoja na Ndugu Joel Nanauka .
Wote hawa huwa nasoma makala zao Facebook na katika WhatsApp Channel zao.
Niseme hawa jamaa wamebarikiwa Sana .
Natagemea kumuona Joel Nanauka pamoja na Robert Heriel wakilitumikia Taifa .
Wana-Ccm wenzangu ndugu Robert Heriel Mtibeli , mfikirieni kumteua .
Kijana huyu anatufaa katika Serikali , Elimu yake ni Shahada .
Umri 30s
Atatufaa katika kutuandikia hotuba , n.k
Asante
Robert Heriel Mtibeli ndo Kijana namba moja mwenye akili hapa Tanzania .
Namuona Mbali Sana huyu Kijana, maana kwa umri wake wa miaka 31 tu Ila amefanya mapinduzi Makubwa ya kifikra kwa vijana .
Naskitika kuona this guy is still underutilized , Serikali kama mnashindwa kutumia treasure Kama...
Wakuu Habari Za Uzima, Nimekuwa Msomaji na Mfuatiliaji Wa Stories Mbalimbali Humu Jamiiforums, Kuna Members Walileta Story hizi ila Zikanipotea, Naomba Mwenye Nazo Au Mwenye Link Anisaidie.
1. Uzi wa Kufirisika ( Hapa Watu Wanaeleza Namna Walivyokuwa na Pesa Nyingiii Wakafirisika )
2. Story...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.