Mimi .............. naapa kwamba nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nitalinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyowekwa kisheria.
Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mimi ................ naapa nitatenda kazi zangu za Urais wa Jamhuri ya Tanzania kwa...
kwanza namshukuru Mungu Mtoaji wa vyote, endapo atanibariki uongozi wa juu wa Taifa letu la Tanzania nitafanya haya yafuatayo;
1. KUHUSU KATIBA
Nitaruhusu katiba inayopendekezwa na wananchi wengi kwa kupigiwa kura
2. KUHUSU MUUNGANO
Hakutakuwa na serikali mbili kwenye nchi moja, hii ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.