rais traore

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    Serikali ya Burkina Faso: Kulikuwa na njama za kumuua Rais Ibrahim Traore, tumezizuia

    Serikali ya Burkina Faso imesema imefanikiwa kuzuia jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Ibrahim Traoré, ikimtuhumu aliyekuwa rais wa mpito, Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba, kuwa mpangaji mkuu wa njama hiyo. Waziri wa Usalama, Mahamadou Sana, amesema mpango huo ulihusisha mauaji ya...
  2. G

    Majasusi wa Urusi wamkabidhi beji maalumu Rais Traore , huku wakitoa mienendo mibaya ya Marais karibu Asilimia 90 WA afrika hawafai kubebwa na Urusi.

    Ripoti za Siri zimevuja Cremlin kumewaka Moto, majasusi wanadai Marais wengi WA afrika ni vibaraka wanaotumiwa kuiba rasilimali za nchi zao kwa manufaa ya magharibi. Majasusi wanasema viongozi wengi WA afrika Wana uraia Pacha hasa WA ulaya , Oman, Dubai, America, na wengi wanamiliki majumba...
  3. Carlos The Jackal

    Ni Marufuku Kwa mwanaCCM kujifananisha na Rais Traore wa Burkinafaso !! Traore anauchukia Ufisadi, Anaijenga Nchi Kwa dhati , Hateki wala kuua watu

    Traore majuzi kasema 'Naijenga Burkinafaso Kwa ajili ya wanyonge '!! Akaenda mbali zaidi, akasema 'Nauchukia Ufisadi na viongozi Mafisadi ambao wametanguliza Maisha yao mbele kuliko Raia wetu. Akasema zaidi " Lazima tuheshimu na Tulinde Maisha na Uhai wa Kila Mwanamapinduzi wa Nchi hii'...
  4. Labani og

    Ni sahihi Rais Traore kukutana na maraisi huko Russia akiwa na bastola kibindoni?

    Hii picha ya Rais Traore kukutana na Rais Maduro wa Venezuela huko Russia huku akiwa na Bastola yake inayoonekana wazi kabisa imejadiliwa sana. Tena sio hivyo tu bali pia Traore ameshuka kwenye ndege huko Russia na akapokelewa hivyo hivyo akiwa na Bastola yake. Kwa sisi wakali wa Diplomacy...
  5. Mateso chakubanga

    Idara ya ujasusi ya Burkina Faso yagundua njama za kumuwekea sumu Rais Traore

    Mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama nchini Burkinafaso (ANR) Oumarou Yabre ameweka tahadhari kadhaa na kupitia watu wake ndani na nje ya Jeshi na idara wamefanikiwa kugundua chai iliyokuwa apewe Rais Kaptein Ibrahim Traore iliwekwa sumu na Afisa mwandamizi wao kwa kumtumia mtu wa huduma za Rais...
  6. Jidu La Mabambasi

    Serikali mnatudhulumu kumbukizi, nataka kumwona Ibrahim Traore Rais wa Bukina Faso

    Huyu mwamba wa Afrika Captain Ibrahim Traore, ni mtu nilitaka kumwona machoni akiwa Dar. Huyu Rais Traore ni nyota ya mwafrika, na kila mwafrika mwenye kujielewa angependa kumtia machoni. Serikali ingetutengenezea wananchi, hata mahali tunaweza kumwona mwamba huyu. Alipokuja Mandela serikali...
Back
Top Bottom