Ni jamaa zangu wawili wameingia katika SINTOFAHAMU kubwa sana kwasababu ya mwanamke,
Nmewaza hapa mpaka kichwa kinaniuma sahivi.
KWA KUANZIA,
Ni kwamba mimi pamoja na hao jamaa zangu wawili sote Ni wafanyabiasha wa bidhaa Aina Moja.
Ofisi zetu ziko jirani pia (mji ule ule), Mara kwa mara...