profesa j

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Dudu baya: Amvaa vikali Profesa J kupewa Milioni 30 na Rais Samia. Unatumia ugonjwa kupata fedha, wakati waTanzania wanamaisha magumu

    Dudu Baya amkalia koo Profesa J baada ya kupatiwa milioni 30 na Rais Samia Suluhu Profesa J hongera kwa kugewa milioni 30 na mama Samia yani wewe huna utofauti na Wastara mnatumia ugonjwa kupata fedha wakati Watanzania wanamaisha magumu na Watanzania wanamachungu na damu za ndugu zao walipotea...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Upendo na Moyo Wa Huruma: Rais Samia Amsaidia Profesa J Million 30. Asema anafuatilia Kwa Karibu maendeleo yake kiafya. CHADEMA wao ni Majungu tu

    Ndugu zangu Watanzania , Kiukweli Rais Samia amejaliwa Moyo wa Huruma na upendo sijapata kuona. Ni Mama Mwenye Kuguswa na shida za watu. Ni Mama na Rais Mwenye Upendo wa Agape . Maisha ya Rais Samia hapa Duniani ni Kwa ajili ya Kugusa watu. Anaishi kwa ajili ya kusaidia watu. Amefanyika Baraka...
  3. funaku

    JamiiForums Tanzania Profesa J atafurahi kuona Singeli inaenda kimataifa

    msikilize hapa akiwa na Sholo Mwamba.
  4. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Joseph Haule 'Prof. Jay: Nitagombea Ubunge Mikumi 2025

    Msanii maarufu wa muziki wa hip-hop, Joseph Haule, anayejulikana kama Profesa Jay, ametangaza rasmi kuwa atagombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Akizungumza kwenye kipindi cha The Throne kinachorushwa na redio Crown FM leo Ijumaa, Oktoba 11, 2024, Profesa Jay ameeleza kuwa...
  5. ukwaju_wa_ kitambo

    JamiiForums Tanzania Heka heka za star

    Ustar wa kibongo naona ni kama kero/ ukipita masikani lazima uwe na jero/ wengine ukiwapa jero hawataki wanataka buku/ na ukisema huna lazima wakutoe mkuku/wanashindwa kulinganisha thamani ya jina na mfuko/mastar wengine wapo hoi wanaishi kama milupo/ usione mtu ana ng'aa ukadhani ana chapaa...
  6. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi akutana na Profesa J na kufanya naye Mazungumzo

    Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Joseph Mbilinyi amemtembelea nyumbani kwake Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa na kufanya naye mazungumzo. Wawili hao ambao wote ni wanamuziki wa kiwango cha Juu wamezungumza mambo kadha wa kadha, mengi yakihusu ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na mambo...
Back
Top Bottom