power breakfast

The Power Station was a British television channel that was operated by British Satellite Broadcasting (later British Sky Broadcasting, after BSB and Sky Television merged). It was a dedicated music channel.

View More On Wikipedia.org
  1. Ile Power Breakfast ya Akina Babra Hassan na Masoud ilikuwa ya moto sana

    Basi ikifika segimenti ya Bonge utasikia ka Brabra Boonji...then wanataniana hapo aah uendaji kazini unakuwa muruua kabisa hata foleni huioni!!! Gone are the good days!
  2. PostGE2025 Power Breakfast wakifanya maombi baada ya bunge la Ulaya kusitisha misaada kwa serikali ya Tanzania

    Watangazaji wa Clouds FM wa kipindi cha Power Breakfast wakifanya maombi baada ya Bunge la Ulaya kusitisha misaada kwa Serikali ya Tanzania kutokana na madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu. Pia Soma: Bunge la Ulaya lapitisha maazimio 9 kwa Tanzania. Lakata misaada na kutangaza Uchaguzi...
  3. M

    Kulikoni Power Breakfast ya Clouds FM?

    Mimi ni mpenzi mkubwa wa kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa kila siku asubuhi na Clounds FM. Sijui kimetokea nini siku za hivi karibuni kwa kuwa magwiji wa kipindi hiki wakiwemo Fetty, Caesar chini ya kiongozi Masoud Kipanya siwasikii tena. Nasikia sauti za watangazaji wengine ambao...
  4. DJ Fetty wa Power Breakfast ya Clouds FM asimamishwa kazi na maagizo kutoka mamlaka za juu kwenda kwa Bosi wake sababu za Kisiasa

    Wengi wetu ambao ni wapenzi wa vipindi vya radio tutakuwa tunamfahamu DJ Fetty ambaye alianza kazi ya utangazaji muda mrefu katika stesheni ya Radio Ya Mawingu (Clouds FM). Alikuwa nguli wa kipindi cha XXL kilichokuwa mahususi kwa vijana na wapenda burudani hasa mziki, miaka hiyo bado unafuta...
  5. Waziri Jafo apata kigugumizi kuzungumzia bidhaa kuwekwa lebo kwa lugha za Kigeni huku watumiaji wakiwa hawajui lugha husika

    Wakuu tune Clouds FM radio Ili mpate kumsikiliza SELEMAN JAFO na hoja zake dhaifu kuhusu wachina
  6. Power Breakfast ya clouds mkichukua threads za JF muwe mnatoa appriciationa na sio kwa ubaya

    Jana kuna Mdau alielezea swala la ujiio wa wachina na kuanzisha Migahawa na Car wash . Soma pia: Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina Naona Clouds wamekopi kila kitu Ila wameshindwa kutoa Appreciation yoyote jambo hili sio zuri Sana na...
  7. Godbless Lema live Power Breakfast tarehe 23/01/2025

    Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Godbless Lema anatarajiwa kuwa live kesho Clouds FM katika kipindi cha Power Breakfast. Mara ya mwisho mahojiano yake katika kipindi hicho yalishindikana kufanyika. https://www.jamiiforums.com/threads/godbless-lema-kutikisa-power-breakfast.2192804/
  8. Power breakfast live wamuhoji Tundu lissu

    Mahojiano yameanza dk.20 na.yanaendelea live power breakfast ua.clouds na Tundu lissu. Tutajazia nyama yanavyoendelea
  9. Godbless Lema kutikisa Power Breakfast

    Nabii wa Mungu , ambaye pia ndio mbunge ajaye wa Arusha Mjini , Godbless Lema atakuwepo Clouds FM kwenye kile kipindi chao kinachoitwa Power Breakfast . Nabii Lema ambaye hakuna unabii wake ambao haukutimia anatarajiwa kuleta unabii mwingine ambao hautachukua muda mrefu kabla ya kutimia , ni...
  10. Kamanda Muliro kwenye Power Breakfast umekwepa ila ni majukumu yako, nina swali kwako

    Leo nimesikiliza kipindi cha Clouds Power Breakfast lakini kwa jinsi ulivojaribu kulinda heshima ni kweli sio jambo zuri kuwa wazi ni kuchonganisha raia na jeshi la polisi. Lakini swali la kujiuliza ni ili WATU WANATEKANAJE? Kumekuwa na malalamiko ya utekaji kwa kutumia jeshi la polisi au kwa...
  11. Kwa sasa kipindi cha mahojiano cha kusikiliza ni Power Breakfast cha Clouds FM

    Angalau wanajitahidi kuhoji vitu vyenye maslahi na nchi. Leo wamembananisha sana yule afsa wa NIDA mpaka nimefurahi. pia wamehoji vizuri lile swala la fine ya 75b. Hawa ndo wanastahili teuzi kama kweli mamlaka za uteuzi ziko makini. Achana na takataka zingine kazi kujikomba komba tu ili...
  12. Maxence Melo: Kile unachokipenda ndicho unacholetewa kwenye digitali

    Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo akizungumza katika Kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM anasema “Kwenye ulimwengu wa kidijitali wewe ni bidhaa ambayo inatokana na namna ambavyo wewe unachakata maudhui (algorithm).” Hivi ndivyo mitandao inavyotengeneza pesa, kuna maudhui utayaona...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…