posho za walimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. O

    Taasisi ya Elimu Tanzania lipeni posho za walimu

    Kabla ya shule kufunguliwa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) iliitisha semina kwa walimu wanaofundisha kidato cha V na VI nchi nzima, kuanzia 21-22/06/2025 katika vituo mbalimbali kwa kila wilaya. Semina hiyo ilihusiana na kuwajengea uwezo walimu kuhusiana na mtaala ulioboreshwa na ni kama...
  2. W

    Tanga: Chama cha walimu walilia posho za walimu wastaafu

    Chama cha Walimu wilayani Pangani mkoani Tanga kimeiomba serikali kulipa malimbikizo ya madeni ya walimu ikiwemo posho za kujikimu, mishahara sambamba na malimbikizo ya madai ya walimu wastaafu.
  3. Wakusoma 12

    Wazo huru: Serikali iondoe mara moja posho za walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu elimu kata pesa hizo zitumike kuajiri vijana wapya

    Hii hoja isipuuzwe hata kidogo posho za madaraka wanazolipwa Hawa viongozi hazina maana yoyote ile. Mkuu wa shule na Mwalimu mkuu Huwa hawana vipindi vyovyote shuleni. Muda wote ni kutanga na njia na kusimamia maendeleo ya shule husika. Kwa kuwa Sheria ya utumishi inataka wazi malipo yalipwe...
  4. A

    KERO Kada ya Ualimu Makete (Njombe) hatujapewa posho za kujikimu za Mwaka 2019

    Naomba TAMISEMI iangalie posho za kujikimu Kada ya Ualimu Mwaka 2019 Makete hatukupewa fedha hizo. Kila tukiuliza tunaambiwa Serikali bado haijaleta fedha hizo ilihali wilaya nyingine walilipwa Mwaka huohuo 2019.
  5. Roving Journalist

    Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yafafanua madai ya kutoa mafunzo ya Mitaala kwa Walimu bila kuwapa posho

    Awali, Mdau wa JamiiForums.com aliandika kuwa Walimu wa Halmashauri ya Arusha wanatarajiwa kupewa mafunzo kwa ajili ya mitaala mipya ya Kidato cha Kwanza kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku ikiwa ni malipo ya chai, kwa maelezo kuwa yatakuwa mafunzo ya siku mbili, hivyo kila mmoja atalipwa Tsh...
Back
Top Bottom