Katika kipande hiki cha video, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba anaonekana akijigamba huku akimnadi mgombea udiwani wa jimboni kwake kwa kuwataka wananchi wamchague sababu ameshikana mkono na mtia Saini noti za taifa.
Anaenda mbali nakuwauliza wananchi wake "kama walishawahi kushikana mikono na...
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Alliance for Africa Farmers Party (AAFP), Said Soud, amesema endapo atapata ridhaa ya Wananchi wa Zanzibar kuwa Rais, atatenga fedha maalum kwa ajili ya kuwapatia Vijana mahari ili waweze kuoa
Soud amesema hayo Agosti 14, 2025 alipokuwa...
Mimi naweza kuonekana mkorofi ila mwisho naweza kusema hakuna anayejali elimu ya Tanzania zaidi ya mislaid binafsi.
Kumekuwa na semina ambazo hazileti matokeo chanya kwa sababu zinafikia watu wachache huku posho ikiwa njia ya ufujaji wa pesa bila lengo kufikia walimu wote.
Natoa rai mfano...
Katika hali ya sintofahamu alisikika mfanyakazi mmoja wa taasisi nyeti ya kijeshi akimjibu mtoa huduma kua hakuna pesa kwa sasa za kuwalipa kwa sababu Serikali haina pesa na mpaka sasa taasisi hizo hazijawekewa pesa za bajeti hivyo waendeleee kusubiri kwa mda usiojulikana mpaka watakapowekewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.