Wabongo wenzetu nikiamaanisha watanzania wenye asili ya kiafriaka
❌Wanasiasa - Wengi wananenepa kwa kodi zetu
❌Wachungaji wa kilokole wengi wahuni wanatajirika kwa sadaka
❌wasio na shughuli zinazojulikana, wengi matapeli na dili nyeusi
PESA NI SILAHA; VITA YA MAISHA. MBINU ZA KIMEDANI. CHUKUA MOJAWAPO!
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Kuna mahitaji yanayoleta kuhitajiana.
Kuhitajiana kunakoleta mahusiano.
Mahusiano mchezo wa maslahi.
Maslahi yenye kutimiza ndoto na malengo ya watu.
Mahitaji ni tafsiri ya utegemezi...
Wakuu naomba kuuliza, ivi pesa inayolipwa as mishahara kwa watumishi ni pesa unayopatikana ki halali?, mfano labda pesa zinapatikana kupitia kodi labda tuseme kodi iliyokusanywa katika makampuni ya michezo ya kubahatisha, sasa zichukuliwe zile pesa zije zitumike labda kulipa mishahara kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.