patrick mwalunenge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Bodaboda waungana na mbunge Patrick Mwalunenge, wako tayari kutoa shilingi elfu moja moja kwaajili ujenzi wa barabara

    Mbunge wa Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge, amependekeza kila mwendesha bodaboda nchini achangie shilingi 1,000, hatua ambayo imeendelea kuzua mjadala bungeni na miongoni mwa wadau mbalimbali. Baadhi ya wabunge wamekosoa pendekezo hilo wakidai kuwa linaweza kuwa mzigo kwa waendesha bodaboda...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwalunenge: Machinga, Bodaboda siyo Maskini, wakichanga Tsh. 1,000 kila siku wanaweza hata kujenga barabara

    Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge, ameitaka Serikali kurasimisha sekta isiyo rasmi inayohusisha wamachinga, madereva wa bodaboda na bajaji kwa kuwa makundi hayo yana mchango mkubwa wa kifedha kuliko inavyofikiriwa. Akichangia bungeni Juni 19, 2026, Mwalunenge alifafanua kuwa...
  3. G

    JamiiForums Tanzania Mwalunenge kumrithi Dkt. Tulia Mbeya mjini

    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya na Mfanyabiashara wa Kimataifa Ndugu Patrick MWALUNENGE ana uwezekano mkubwa wa kushinda kupeperusha bemdera ya Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Mbeya mjini baada ya kuchukua RASMI fomu ya kuomba ridhaa ya kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya! Tangu...
Back
Top Bottom