Mbunge wa Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge, amependekeza kila mwendesha bodaboda nchini achangie shilingi 1,000, hatua ambayo imeendelea kuzua mjadala bungeni na miongoni mwa wadau mbalimbali.
Baadhi ya wabunge wamekosoa pendekezo hilo wakidai kuwa linaweza kuwa mzigo kwa waendesha bodaboda...
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge, ameitaka Serikali kurasimisha sekta isiyo rasmi inayohusisha wamachinga, madereva wa bodaboda na bajaji kwa kuwa makundi hayo yana mchango mkubwa wa kifedha kuliko inavyofikiriwa.
Akichangia bungeni Juni 19, 2026, Mwalunenge alifafanua kuwa...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya na Mfanyabiashara wa Kimataifa Ndugu Patrick MWALUNENGE ana uwezekano mkubwa wa kushinda kupeperusha bemdera ya Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Mbeya mjini baada ya kuchukua RASMI fomu ya kuomba ridhaa ya kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya!
Tangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.