paroko avamiwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Heparin

    JamiiForums Tanzania Kijana aliyevamia altare na panga wakati wa Misa akitaka kumuua Paroko wa Parokia ya Kagunguli, Bunda auliwa na waumini huku yeye akijeruhi wawili

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida, katika Parokia ya Kagunguli Bunda Mkoani Mwanza, kijana mmoja alivamia Kanisani kwa nia ya kumuua au kumjeruhi Paroko wakati wa adhimisho la misa takatifu ya Pasaka, leo Aprili 5, 2026. Wakati akitaka kupandisha ngazi za Patakatifuni alizuiliwa na kutolewa nje...
Back
Top Bottom