Katika hali isiyokuwa ya kawaida, katika Parokia ya Kagunguli Bunda Mkoani Mwanza, kijana mmoja alivamia Kanisani kwa nia ya kumuua au kumjeruhi Paroko wakati wa adhimisho la misa takatifu ya Pasaka, leo Aprili 5, 2026.
Wakati akitaka kupandisha ngazi za Patakatifuni alizuiliwa na kutolewa nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.