oktoba tunatoka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JF Summary

    GE2025 Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025: Matukio na taarifa Mubashara za Uchaguzi

    Utangulizi Oktoba 29, 2025 Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi mkuu katika mazingira yanayoelezwa kuwa yenye hali wasiwasi mkubwa na taharuki. Uchaguzi huu unakuja takriban mwaka mmoja baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa, uliosababisha mijadala mikubwa kutokana na matukio ya...
  2. Cute Wife

    GE2025 Mbona mnatukatisha tamaa mapema hivi wakati ndio kwanza siku imeanza? Tulieni Polisi wapate surprise!

    Wakuu, Yaani asubuhi asubuhi mshasema maandamano yamefeli? Ndio kwanza siku imeanza mbona mnatukatia tamaa mapema hivi? Hamuamini kuwa wanannchi tunaweza kuleta mabadiliko wenyewe? VItuo si vinafunguliwa, tunaamka na kutoka na vitambulisho vyetu huko huko tunaungana barabarani, mlitaka watu...
  3. R

    Video: Ukitaka kwenda kutiki Oktoba 29 hiki ndo kitakachokukuta

    Wakuu, Oktoba 29 tunatoka kuanza kazi na hawa jamaa wa baiskeli na tisheti za buku, ni wakati wa kukomboa nchi kama hawajielewi tutawaelesha a
  4. Matovu Godfrey

    GE2025 OKTOBA 29 tunatoka

    INUKA TANZANIA! 🇹🇿 AMKA TANZANIA! TANZANIA HURU! SAMIA LAZIMA AENDE! ACHA UTEKAJI MIMI MTANZANIA! POLE POLE BURE! TUNDU LISU BURE! HAKUNA MAREKEBISHO HAKUNA UCHAGUZI! #Oktoba29Tunatoka 📍 Watanzania lazima wainuke na kupigania uhuru wao, dhuluma lazima iishe 💪🏿
  5. Its Tesha

    Video: Tangazo la uchaguzi kama uchawi, Oktoba tunatoka hakuna mganga zaidi ya wananchi

    Amkeni watanzania Bongo Movie ya CCM imetoka Rami ebu watuache kidogo hahahahahahahahahaah
  6. Penguinelli Cactussini

    GE2025 Ni kweli kwamba Tar 29-10 watu watatoka kweli?

    Maandamano aliyoitishaga Mange Kimambi yalileta badiliko lolote wakati ule? Je, kipindi hiki NDIO tuseme chuki dhidi ya serikali iko kwenye peak kuliko miaka yote TANGU uhuru? Gen Z wa wakati huu ni bora na wanataka mabadiliko tofauti na miaka ya nyuma? Enyi watu wazima ambao mliona...
  7. tonicimmobility

    Watu wanapotekwa hamuimarishi ulinzi ila siku ya uchaguzi mnasema mtaimarisha ulinzi!

    Kesi za watu waliotekwa na hao watekaji mnayo lists nzima maana wanafahamika ila hamjawahi kuchukua hatua yoyote, watu wanafanyiwa vitendo vya kinyama na wafanya vitendo hivyo mnawafahamu ila hamjawahi kuchukua hatua yoyote. Mnakazana kuwazima watanzania wasizungumzie ukweli, mnawekeza nguvu...
  8. tonicimmobility

    GE2025 Nchemba: Ulishawawahi kushikana mkono na mtu aliyesaini kwenye noti wewe?

    Kiongozi mkubwa kama huyu badala asimame mbele za wananchi na kueleza anawezaje kuboresha maisha ya watanzania anaanza kujisifia kuwa pesa zote wanazotumia watanzania zina saini yake. Sasa hiyo saini yako inawasaidia nini watanzania kupunguza kero zao? Hiyo saini inasaidia nini kuboresha maisha...
  9. tonicimmobility

    GE2025 Hii ilikuwa ni 30.09.2020 Moshi halafu kuna watu wanasema jamaa hakubaliki "usiyempenda kaja"

    Hii ilikuwa ni 30.09.2020 Tundu A.M Lissu akiwa mgombea Urais wa CHADEMA katika uchaguzi mkuu wa 2020 akiingia Moshi Mjini. Watu walimsubiri uwanjani hadi usiku wa saa mbili kasoro hivi. Hawakutaka kuondoka, wakaamua kuruka majoka uwanjani wakimsubiri kumpokea Tundu A.M Lissu. Kumbuka, hapa...
  10. tonicimmobility

    GE2025 Hao watatu mnaoshikilia mtuambie wapo kituo gani maana oktoba 29 inaweza ikawa hata kesho, tumechoka

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema linawashikilia watu watatu kwa mahojiano, kufuatia tukio la kushambulia usafiri wa mwendokasi. ‎ ‎Taarifa hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Murilo, Oktoba 1 mwaka huu, ikibainishwa kwamba...
  11. tonicimmobility

    GE2025 Afrika inaamka, ndani ya miezi mwili tayari GenZ wameshusha nchi tatu zenye utawala mbovu. Jana ilikuwa Madagascar. Je, Tanzania kufuata?

    Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, siku ya Jumatatu alisema anavunja serikali kufuatia maandamano yaliyoongozwa na vijana kuhusu kukatika kwa maji na umeme, ambapo Umoja wa Mataifa unasema angalau watu 22 wameuawa na zaidi ya 100 kujeruhiwa. Yakiwahamasisha na maandamano ya kizazi cha “Gen Z”...
  12. tonicimmobility

    GE2025 Wakuu hii itabidi itumike 0ktoba 29, "wanaume zaidi ya 1,000 wamefunga barabara mbeya kuadhimisha umoja wao wa kusaidiana na kuinuana"

    Wanaume zaidi ya 1,000 katika mji wa Tunduma mapema leo wamefunga barabara kwa saa kadhaa wakifanya matembezi ya kuadhimisha mwaka mmoja wa mafanikio ya kikundi chao cha “Wanaume Familiy Tunduma – Songwe” chenye lengo la kuinuana na kusaidiana. Soma pia: Gharama ni nafuu zaidi kubadili utawala...
  13. tonicimmobility

    GE2025 Mbona kama wameanza kuogopa kuhusu oktoba 29?

    Wakuu ukiiskiliza hii video kwa makini ni kama wameanza kuogopa kuhusu kutoka oktoba Walidhani wananchi tunatania, sasa hivi kila anapoenda kusoma risala lazima agusie kuhusu oktoba tunatoka. Wakuu tukazie hapohapo hadi kufika 29 oktoba tutakua tumeelewana tu Soma pia: Haji Manara: Hii nchi...
Back
Top Bottom