october tunatiki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kimbesa11

    GE2025 Tuna mamilioni ya sababu za kwanini OCTOBER TUNATIKI kwa Rais Samia Suluhu Hassan Na kwa CCM na si kwingine

    KAZI alizozifanya Mh. Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan Rais wa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA kwa kipindi cha miaka 4 ni kubwa Sana, zinaonekana kwa kila Mtanzania. Hakuna sababu ya kutompigia kura Dr. Samia, nitaongea machache -mbolea ilikuwa 180k sahiz ni chin ya 40k nyongeza za mishahara...
  2. Kimbesa11

    Ndo maana wanaume tunakufa haraka imagine Kuna mtu alikuwa haamini Kama uchaguzi upo haamini October tunatiki ndugu yangu unajipa kisukari bure

    Wanaume huwa tuna ubishi wa kitoto sana, huku tunajua kuwa kila kiongoz anaapa kuilinda Katiba ya JMT lakini bado Kuna mwanaume anajidanganya moyoni mwake eti oooh hakuna uchaguzi, oooh form haitachukuliwa Kama ulikuwa na fikra Kama hizi ujue ww ni mgonjwa tayari. Haya Taifa lipo na slogan ya...
  3. Kimbesa11

    GE2025 Kura za wajumbe wa CCM zimepalilia falsafa ya Oktoba tunatiki, Sasa tutatiki kwa Rais Samia, wabunge wa CCM na madiwani wa CCM. Then Day ended well

    Nianze kwa kumpongeza mwenyekiti wetu wa CHAMA CHA MAPINDUZI TANZANIA Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapa nguvu Wajumbe waamue viongozi wanaowataka kupitia kura. Hongera sana mwenyekiti wetu Samia kwa kuongoza chama chetu kwa akili kubwa na maono makubwa. Wajumbe wameshachagua wabunge na...
  4. Kimbesa11

    Wanaharakati wa mitandaoni punguzeni jaziba mtapata kisukari Ratiba ya uchaguzi ishatoka OCTOBER TUNATIKI

    Nadhani hakuna haja ya kupaniki mnajiumiza bure , huwezi kuzuia jua kwa mkono. Hongera sana tume kwa kutupa ratiba. KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE 🇹🇿
  5. Kimbesa11

    GE2025 Upinzani: kazi aliyoifanya Rais Samia Suluhu Hassan ndiyo inayofanya tutamke wazi kuwa OCTOBER TUNATIKI

    Tanzania tuna Upinzani wenye zero critical thinking skills. Karne ya sasa huwezi ukakubalika kwa kutukana watu, kwa kudanganya watu, kwa kueneza roho ya chuki au kuonyesha uchu wa madaraka au kwa kutumia Hawa manabii wakitapeli akina Gwajima kwasabu watu tunaona na tunajua, tunajua na tunaona...
  6. DuaZaMama

    GE2025 Steven Wasira akichambua No reforms No election na October Tunatiki

    "....(No Reforms no election) na yenyewe ni kauli mbiu, nchi lazima iongee...hakuna wakati ambapo kumekuwepo na nchi bila maneno..."-Makamu Mwenyekiti CCM -Stephen Wasira.
  7. Manyanza

    GE2025 Wale wanaojinasibu kuwa "OktobaTunatiki" kuna ujumbe wao hapa

    Wakuu tukiondoa masihara au unafiki huu ujumbe wa Baba Askofu Benson Bagonza umejaa ukweli mtupu. Ukiweka ushabiki wa itikadi za vyama. Hata wale wanaotamba bila aibu Watatiki October naona nao ni Wanafiki tu na wanatamba lakini ukweli mchungu hakuna kura ya Mtanzania inayothaminiwa na hili...
  8. Upekuzi101

    TISS mmejiandaa kuondoa foreigner kwenye system au na nyie mnapambania kutiki october?

    Foreigner wamejaa kwenye mifumo yetu ya maamuzi na sasa tunaingia tena kwenye uchaguzi, watia nia wa ''October tunatiki'' tayari wameshaanza kuchukua form za kuomba kuteuliwa. Je watu wa mfumo na usalama mnafuatilia background za kila mchukua form na kumjua vizuri kuhakikisha haturudii makosa au...
  9. R

    PreGE2025 Mohamed Kawaida: Vyama 18 vipo tayari kushiriki uchaguzi, tuchague viongozi wanaotoka CCM, October tunatiki

    Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammed Ali Kawaida (MCC) amesema kuwa vyama 18 kati ya 19 vya siasa vimeridhia kushiriki Uchaguzi ifikapo Oktoba 2025 ambapo ametaka Chama Cha Mapinduzi kuwa miongoni mwa vyama hivyo Aidha, ameongezea kwa kusema `sauti ya wengi ni sauti ya Mungu' huku akihusianisha...
  10. R

    PreGE2025 Baada ya Waziri Mwigulu kusoma Bajeti ya 25/26 njoo utuambie kama ni 'No Reforms, No Election' au 'October Tunatiki'

    Wakuu, Bajeti kuu ya serikali Mwaka 2025/2026 inawasilishwa leo Bungeni na Waziri wa Fedha Dr. Mwigulu Nchemba, ikieleza mapitio ya utekelezaji wa mpango na bajeti mwaka 2024/2025 na mapendekezo ya mpango na bajeti ya wizara ya fedha kwa mwaka wa Fedha 2025/2026 leo Juni 12, bungeni Dodoma
  11. DuaZaMama

    PreGE2025 Vyama Vya Siasa Tumieni Majukwaa yenu ya kisiasa kuhubiri kuhusu mazingira

    wakuu Ivi karibuni kumekuwa na mikutano ya vyama siasa ila sijasikia kuhusu mazingira? Hawa akina Heche,Makala,wasira na Lema wanaosema kuhusu ajira,elimu,na barabara na afya wanajua chochote kuhusu mazingira? Hawajui kwamba utekelezaji wa mambo hayo yanahitaji mazingira hawasemi kuhusu jinsi...
  12. DuaZaMama

    AMIR: Rais Samia ametekeleza Katavi. Oktoba tunatiki'

    wakuu Ni kama October Tunatiki imeanza kupenya na No Reforms No election inasahaulika ===== Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Katavi Ndg. Amir Said Katalambula amewasihi Wananchi wa Mkoa wa Katavi kupiga kura za kishindo Kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kutokana na...
  13. R

    PreGE2025 'No reforms, No Election' na 'October Tunatiki' hazitatusaidia chochote, vijana leteni mifumo ya vitendo zaidi

    Tukiangalia muamko wa wananchi hasa GenZ uko mtandaoni ni wamechangamka kweli, ila tujaribu kufikiria hata kihistoria mageuzi mengi watu walichukua hatua kwa kunyanyuka na kwenda kutenda ndipo waliweza kuwafukuza majasusi na majangili. Hatuwezi kumtoa nyoka pangoni kwa kupapasa lango, tuweke...
Back
Top Bottom