Heshima kwenu Waungwana
Naandika haya, ukiwa ni msimamo wangu binafsi.
Kwamba kesho nitatiki kwa Dr Samia Suluhu Hassani, Mbunge
wa Jimbo langu, na Diwani wa
Kata yangu.
Sababu ni hizi;
1. Maslahi kwa wafanyakazi.
Rais Samia ameboresha maslahi ya wafanyakazi kwa haki.
Tofauti na mtangulizi wake...
==
TAFITI zinaonesha umasikini wa mtanzania zaidi upo Vijijini, Rais Samia ameongeza Bajeti ya Kilimo mara nne (4) kutoka TZS294bn mpaka TZS1,200bn na hivyo kuongeza upatikanaji wa mbolea kutoka tani 678,017 mpaka tani 1,200,000.
Rais Samia ameongeza bajeti ya Kilimo kutoka TZS 294bn mwaka...
Wana harakati wa #NoReforms_NoElection hili la VIOLA MTETEZI kugeuka ghafla baada ya tetesi fulani, kwa ujumla limewakwaza na kuleta maoni mbalimbali !
Ni nimeona video clip uko Facebook kwenye ukurasa wake bila shaka akisema hayo baada ya kutoka safarini.
Mwisho ni haki yake kuchagua upande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.