octoba tunatiki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    GE2025 Kesho nitatiki, na hizi ndiyo sababu zangu

    Heshima kwenu Waungwana Naandika haya, ukiwa ni msimamo wangu binafsi. Kwamba kesho nitatiki kwa Dr Samia Suluhu Hassani, Mbunge wa Jimbo langu, na Diwani wa Kata yangu. Sababu ni hizi; 1. Maslahi kwa wafanyakazi. Rais Samia ameboresha maslahi ya wafanyakazi kwa haki. Tofauti na mtangulizi wake...
  2. J

    Bajeti ya Kilimo imeongezeka mara nne, Rais Samia hana deni kwa wakulima

    == TAFITI zinaonesha umasikini wa mtanzania zaidi upo Vijijini, Rais Samia ameongeza Bajeti ya Kilimo mara nne (4) kutoka TZS294bn mpaka TZS1,200bn na hivyo kuongeza upatikanaji wa mbolea kutoka tani 678,017 mpaka tani 1,200,000. Rais Samia ameongeza bajeti ya Kilimo kutoka TZS 294bn mwaka...
  3. Sarikiaeli

    PreGE2025 Viola Mtetezi, asema anatiki Oktoba uchaguzi mkuu 2025

    Wana harakati wa #NoReforms_NoElection hili la VIOLA MTETEZI kugeuka ghafla baada ya tetesi fulani, kwa ujumla limewakwaza na kuleta maoni mbalimbali ! Ni nimeona video clip uko Facebook kwenye ukurasa wake bila shaka akisema hayo baada ya kutoka safarini. Mwisho ni haki yake kuchagua upande...
Back
Top Bottom