nyumba inauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. radhiya

    Nyumba inauzwa Tabata Bima

    Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Mbiu. Sifa za Nyumba: *Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga. *Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko. *Ina nafasi kubwa nje. *Ina fremu mbili nje hazijakamilika. Ukubwa wa Eneo: Sqm...
  2. radhiya

    Nyumba inauzwa Tabata Bima

    Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Mbiu. Sifa za Nyumba: *Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga. *Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko. *Ina nafasi kubwa nje. *Ina fremu mbili nje hazijakamilika. Ukubwa wa Eneo: Sqm...
  3. A

    Nyumba inauzwa Goba njia nne

    Nyumba Goba niwe nne Njia panda ya Tegeta A. Ukubwa wa eneo 550 square meter vyumba vinne, viwili master, sebule na jiko Tank la Maji na kisima cha Maji ya akiba, Mita 400 toka barabara ya Lami Bei 230M mazungumzo yapo Hatimiliki ipo Mawasiliano 0737148766 Karibuni
  4. Kitomai

    House4Rent House4Sale Nyumba inauzwa kariakoo

    . Ina vyumba viwili vya kulala ( kimoja kinajitoshereza), subule na jiko. Ipo ghorofa ya nne (4). Bei 65mil. Maelewano yapo. Tuwasiliane 0784225000
  5. Apollo tyres

    House4Sale Nyumba inauzwa ipo Sinza A karibu na apartment za Delina .

    ENEO LINAFAA KWA APARTMENT AU MAKAZI BINAFSI LIPO SINZA A KARIBU NA APARTMENT ZA DELINA NA KITAMBAA CHEUPE ENEO NI SQM 356 ENEO LINA HATI PAZURI SANA KI BIASHARA CALL 0658124288 , Kwa ajili ya kwenda kupaona na maongezi BEI : Mil 190 na maongezi yapo kidogo .
  6. Kitomai

    House4Sale Nyumba Inauzwa - Ukonga, Dar es Salaam**

    ** Nyumba inauzwa katika eneo la Ukonga, Dar es Salaam. Ukubwa wa Kiwanja: 885 mita za mraba Hati: Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki Vyumba: Ina vyumba vinne vya kulala, jiko, na sebule pamoja na mahali pa kula Ufikiaji: Nyumba inafikika kirahisi Bei: 130mil Maelewano yapo Kwa...
  7. M

    Nyumba inauzwa kibamba mwisho tzs. 60m...Eneo 1044 sqm

    Nyumba Inauzwa milioni 60 maongezi yapo Location📍IPO KIBAMBA NJIAPANDA YA SHULE -Nyumba ina vyumba 3 vya kulala, Vyumba viwili ni master, dinning room, sitting room, kitchen na public Toilet Nyumba ipo 3Kms kutoka morogoro rd na ipo kwenye barabara ya mtaa (Hondogo) -Plot size Sqm 1044...
  8. A

    Nyumba inauzwa Madale mivumoni

    Nyumba inauzwa madale mivumoni karibu na kaseke primary school Ina eneo la ukubwa wa 487 square meters Ina vyumba 3 master na choo cha public na jiko Inatank la maji la lita 3000 Bei ni 170M Karibuni sana
  9. M

    Nyumba inauzwa milion 37 ipo kwa jeshi

    Anayetaka anicheki inbox
  10. Ochoa Real Estate

    House4Sale Nyumba inauzwa Goba Tegeta "A" milioni 135 tu!

    Nyumba inauzwa Goba Tegeta "A" Eneo lina SQM 450 Nyumba ipo sehemu nzuri sana(majirani✅ Nyumba ina fence ya umeme Nyumba ina paving Nyumba ina umeme na maji Nyumba ina vyumba vitatu viwili vina choo Choo cha public Jiko limekamilika full makabati Sebule kubwa Dinning kubwa Baraza mbili mbele na...
  11. BATULUNGE

    Nyumba inauzwa ipo Madale Kwa Kawawa

    Nyumba inauzwa ipo madale mil 70, Kwa Kawawa, Ipo umbali wa km 1 kutoka barabara lami, Kiwanja kina Sam 650 na kimeshawekwa bikoni, Nyumba ina vyumba 3 vya kulala 1 master na public toilet 1, sitting room1, dining room 1 na jiko 1 0656077998
  12. BATULUNGE

    Nyumba inauzwa Goba

    Nyumba ipo umbali wa km 1 kutokea Goba centre, ina kiwanja chenye ukubwa wa sqm 462, nyumba ina vyumba 3 vya kulala, sebule 1, dining jiko stoo na vyoo 2 0656077998 Inauzwa 90mil
  13. D

    House4Sale Nyumba inauzwa Chang'ombe, Dodoma - Bei ni Milioni 50

    Nyumba inauzwa Chang'ombe Extation Dodoma mil 50 Ina vyumba 4, 2 master. Ina sebule, jiko, public toilet na kiwanja sqm 460
  14. Princep

    Plot4Sale Nyumba ambayo bado inajengwa inauzwa

    .
  15. E

    House4Sale Nyumba zinauzwa maeneo mbalimbali

    Nyumba inauzwa kibaha maili moja loliondo Ina Vyumba 2 kimoja master Jiko,public toilet, sebule Umeme upo,eneo lina 20 kwa 20 Umiliki Mkataba wa Mauziano ya serikali za Mtaa Nimailimoja loliondo pikipiki sh. 2000 Bei mln 19 maongezi yapo kidogo 0675 065906
  16. dalaliadam

    House4Sale Nyumba inauzwa Mbezi Beach Tsh Milioni 150

    #001. NYUMBA YA VYUMBA 3 (KIMOJA MASTA) SEBULE, SEHEMU YA KUPATA CHAKULA, JIKO NA CHOO CHA FAMILIA. LOCATION- MBEZIBEACH GOIGI MITA MIA KUTOKA BAGAMOYO ROAD BEI - TSHS 150,000,000/= (MAONGEZI YAPO) UKUBWA WA ENEO - 441 SQM UMILIKI - NI HATI SAFI YA WIZARA MAELEZO ZAIDI - 0679268006 HII...
  17. mtwa mkulu

    Nyumba inauzwa kibaha mwenda pole

    Nyumba inauzwa ipo kibaha mwenda pole. Si mbali na barabara kuu iendayo dar es salaam. Ina vyumba 3 master 2 single Moja Ina sitting room dining room jiko store umeme maji mabanda ya kuku ya kisasa Ina tiles na madirisha ya aluminum. Ukubwa wa eneo ni hatua 20 Kwa 60. Bei ni sh milioni 80 Tu...
  18. maurice99

    House4Sale Nyumba inauzwa Tanga Mjini

    Nyumba ipo Kange Mkurumuzi *Rooms 3 (Viwili master) *Sebule *Dinning *public toilet *Umeme *Maji Sqm 603 Price Milioni 39 (mazungumzo yapo) Call 0679991114 / whatsapp 0763316426
  19. E

    Plot4Sale Viwanja na Mashamba vinauzwa sehemu mbalimbali Dar na Pwani

    Kazi kazi Nina nyumba Kali inauzwa iko Tabata Kisukuru Ina hati Tsh250ML Nina kiwanja kinauzwa Tabata Kisukuru ukubwa ni mita 20x30 ila nafasi ya kuongeza kubwa wa eneo ipo, kina faa kujenga Sheli sababu barabara kubwa ya lami itapita hapo siku sio nyingi, bei Tsh 50ML. Nina kiwanja maeneo...
  20. Flexi lady

    House4Sale Nyumba inauzwa Chanika

    Nyumba iko Chanika, Talian. Ina vyumba vitatu tayari vimesimama, sebule na dining bado. Msingi umeinuliwa wote. Karibu bei ni kitongq inaanzia milion 10 tu. Mwenyewe anarudisha gharama tu za ujenzi ana shida.
Back
Top Bottom