Msanii Harmonize kupitia lebo yake ya Konde Gang ametoa taarifa kuhusu wimbo wake mpya “Beautiful”, baada ya kuondolewa kwenye mtandao wa YouTube.
Kupitia taarifa hiyo, Konde Gang imesema wimbo huo umeondolewa YouTube kutokana na madai ya hakimiliki (copyright claim) yaliyowasilishwa na mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.