Marine Services Company Limited (MSCL) is a Tanzanian company that operates ferries, cargo ships and tankers on three of the African Great Lakes, namely Lake Victoria, Lake Tanganyika and Lake Nyasa. It provides services to neighbouring Burundi, DR Congo, Zambia and Malawi.
Hapa sasa nakubaliana na Mzee Kikwete hasa aliposema Akili za kuambiwa changanya na zako.
Inawezekana vipi mtu amezwe siku3 nzima mchana na usiku Kisha akatapikwe akiwa Yu hai?
Haihitaji maelezo mengi sana naishia hapa ila Mimi pamoja na ukristo wangu nakiri wazi tulipigwa chumvi iliongezwa...
Njoo mjini ujionee mwenyewe. Mjini ni bahari ambayo usipoiingia kwa hekima lazima ikuzamishe, maana katika bahari hii wapo Nyangumi, Papa na vipapa vyote vinameza.
Mjini kuna kodi ya nyumba, kodi ya meza, kodi ya vikoba, kodi ya michezo, kodi ya pango la biashara, kodi ya takataka, kodi ya...
Huu Ni Uume wa nyangumi aina ya blue whale, na ndio unaaminika kua Ni uume mrefu kuliko Uume wa kiumbe chochote kilicho hai duniani.
Unafikia urefu wa inchi 94.45, sawa kabisa na urefu wa futi 8 au mita 2.5
Yaani uume tu wa nyangumi umempita urefu mchezaji wa mpira wa kikapu wa kitanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.