Kwa kweli kutokana na kuzunguka dunia na kujikuta sehemu mbalimbali ambapo hata unapoenda kununua kitu na kutumia fedha taslimu, unajikuta noti uliotoa kumpa muuza duka au cashier, lazima kwanza aichunguze kwa aidha kuweka kuiweka kwenye machine ya kutambua noti ni halali au kuwa na kalamu ya...