Habar wakuu
Nimekuja kwenu nina akiba hapa ya Milioni 40
Nimekuja kwenu kama wataalamu wa uwekezaji au wazoefu wa uwekezaji mpo
Nishaurini kati ya kununua hisa CRDB, NMB na kuwekeza UTT, niwekeze sehemu ipi kati ya hizo
Maana nafanya shughuli zangu zingine zabiashara kama kawaida ila Nina...
Nimeona UTT inajadiliwa sana kuna mmoja amesema ukiwekeza mil 50 kila mwezi utapata faida ya 400k,
Nataka nikope mil 50 NIWEKEZE UTT ili zile faida za 400k
Kila mwezi nirejeshe benki mwisho wa siku niwe na mil 50 zangu UTT na deni nimemaliza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.