Rais wa Marekani Donald Trump alitumia hotuba yake kwenye Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF) 2026 huko Davos, Uswisi, kueleza misimamo yake kuhusu usalama wa dunia, biashara, nishati na siasa za kimataifa, huku akisisitiza tena sera yake ya “America First” katika muhula wake wa pili.
Greenland na...
Sio jambo la aibu wala ukabila, suala la ulinzi ni very critical ukikosea step kuna consequnces kubwa, Mfano nchi kama India wameweza kubalance uwiano na uwakilishi kwenye idara nyingi lakini kwenye jeshi hawajagusa sana, bado wanaendelea kuwaamini na kuwapa vipaumbele jamii ya wasihi (sikhs)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.