nguvu ya dola

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    GE2025 Bwege: Mabadiliko hayawezi zuiliwa na mtu yeyote. CCM kuzuia mabadiliko kwa nguvu ya dola kunaweza kutokea uvunjifu wa amani

    Aliyekuwa Kada wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge mstaafu wa Kilwa, Selemani Bungara maarufu Bwege amesisitiza kuwa mabadiliko hayawezi kuzuiwa na mtu yeyote, amedai kuwa kitendo cha Chama cha CCM kuzuia mabadiliko kwa kutumia nguvu ya dola yanasababisha uvunjifu wa amani, ameongeza kuwa hata...
  2. The Burning Spear

    Kiongozi huzuka na kukubalika ndani ya Macho na mioyo ya watu na si kwa nguvu ya dola wala Pesa

    GT 1. Uongozi ni talanta kutoka kwa mungu 2.Uongozi ni karama mtu aliyojaliwa. 3. Kiongozi hatumii nguvu nyingi kuwa kiongozi. 4. Kiongozi ni kimbilio la watu.kutatua changamoto zao. 5. Kiongozi huonekana hata kabla hajawa Kiongozi. 6. Kiongozi ni mtu mwenye maono. 7. Kiongozi anaona kule...
  3. Alloyce PR

    Nguvu ya dola (state)

    "Endapo wengi wakijua nguvu ya dola, hata kuitaja kwa utani wangekuwa wanavaa tai kwanza, achilia mbali kuikanyaga miguu!" 😂😂😂— Alloyce, P.R.
  4. Mhafidhina07

    Lissu hatoshinda nafasi ya uenyekiti kwa sababu za usalama na nguvu ya Dola

    Miongo 4 iliyopita Tanzania imeshuhudia vyama vya siasa vyenye ushawishi mkubwa ndani na nje ya nchi,vikiongozwa na viongozi wasomi Mfano TLP chini ya Mrema Na CuF chini ya Mwenyekiti Prof Lipumba lakini havikuweza kitimiza azima ya chama cha siasa kwa sababu za kiusalama au uoga. Tumeshuhudia...
  5. Return Of Undertaker

    Dkt. Bashiru: Aliye na dola ndiye ananufaika nayo kubaki madarakani, hata CHADEMA ikiingia madarakani ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wao

    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally akifanya mahojiano na kituo cha utangazaji ITV amenena haya kuelekea uchaguzi Oktoba 2020. HOTUBA KWA UFUPI CCM imejiandaa kushinda kihalali, na ushindi wenyewe sio wa Oktoba, ulianza kutafutwa tangu 2015, hiyo ndio tiketi yetu...
Back
Top Bottom